Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu la Kiafrika na sahih8 ni hiliView attachment 2842948
MPAKA AWAROGE KWANZA NDIO ATAWAPONYAHili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Wewe ni mfia ujinga na kama siyo hivyo basi wewe ni mnufaika wa hao wajinga unatetea uwepo wao milele.Kama hujafanya utafiti ni kheri kukaa kimya. Watumishi wa Mungu wana huduma za kutembea hospitali, magereza na vituo vya wasiojiweza na watu hupokea uponyaji kila mtu kwa wakati wake na kwa kadri ya mapenzi ya Mungu. Hata wagonjwa waliopo nyumbani ambao kwa namna moja au nyingine hawawezi kufika ibadani, watumishi wa Mungu huwafikia na kuwapa huduma za maombezi na wanapokea uponyaji. Kanisani hamuendi, hospitali kuona wagonjwa hamuendi mnategemea mtaona wapi haya mambo?
Mwamposa ni katika manabii wa uongo waliozuka hivi karibun yule ni wakala wa kuzimu ni wajinga pekee ndio huwa wanaendaga kuleHili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Wewe ni mfia ujinga na kama siyo hivyo basi wewe ni mnufaika wa hao wajinga unatetea uwepo wao milele.
Mwenye akili hana mjadala na hili kuwa hakuna kitu kama utumishi wa umma bali utapeli
Nimefanya mambo kadhaa juu ya wagonjwa ikiwemo kuwalipia gharama za matibabu,kuwanunulia vyaakula vyenye virutubisho nk.Nyinyi “werevu” mmefanya lipi kuwafariji wagonjwa? Watumishi wa Mungu hupita kuwatia moyo na kuwaombea na walau hilo huwapa wagonjwa tumaini la kuishi na wengine kupona kabisa. Wewe mwerevu umefanya lipi?
naunga mkono hojaHili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.
Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?
Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Mahospitalini waajiri madaktari siyo wahubiri, na makanisani wanaajiri wahubiri siyo madaktari, acha upunguani.Anaogopa kuumbuka kwani mambo yake mengi ni "michongo " viinimacho. Hakuna cha Yesu pale.