Kwanini mwanamke akiwa hedhi anamchukia Kila mtu

πŸ€›πŸ€›πŸ€›πŸ€›
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uwe unanipa mualiko akimaliza MP
 
Wife alikuwa kwenye mzunguko nimenuniwa siku tatu na sikumfanyia kosa lolote, kwanini lakini nyie wake zetu mnakuwa na majaribu?
Wife wako sio wanawake wote.
Mwanamke akiwa period anapata mood swings. Ni kawaida unapaswa kumuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…