secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
True dada wa kazi akiwa na kibri .......Ushaelezwa hapo juu hivo mchukulie kama alivyo....
Hii shida nilikua naiona sana kwa dada wa kazi siku zote huwa anajitahidi ana heshima ila kuna baadhi ya siku ananijibu kama yeye ndio boss, nikafatilia nikagundua ni almost mara moja kwa mwezi nikahisi huyu anakuaga period ndio maana, na kweli kila akijibu ujinga nikiingia room kwake nakuta pedi kitandani, sina tena shida nae akijibu namkaushia tu.
Tuma ya udalali, usisahau tozo....[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kupeana connection muhimu. unaweza kuta nanigewa naoa kabisa
Nilikuaga namind, ila nikikaa mwenyewe nikawa nashangaa najiuliza kwanini huyu ananijibu ovyo wakati hayupo hivo ana heshima ilichukua muda kuja kuwaza upande huo, tangu nijuee akijibu najifaya kama sijasikia 😁True dada wa kazi akiwa na kibri .......
mawazo ya kwanza kwa mke, mume anakula dada kazi !!? ujinga huu uliwahi kunitokea zamani ......
kumbe ni mod swing tu.....
Tuma ya udalali, usisahau tozo....
True dada wa kazi akiwa na kibri .......
mawazo ya kwanza kwa mke, mume anakula dada kazi !!? ujinga huu uliwahi kunitokea zamani ......
kumbe ni mod swing tu.....
Basi ndio ujue utakula vitasa bebe dollSasa hivi visirani vinanoga ukimwonesha mpenzi na sio mtu mwingine.
Nakereka tu Sasa ndo itokee mtu anichokoze nakasirika kupitiliza sitaki hata kutongozwa yani ni vanga vangaShkamoo my dada,relax hiyo ni haki yako ya msingi
Genye na hizo mood swings 😂 Basi nakuwa kama chui mjamzito, visirani si vya nchi hiiNini shida
Wewe kama wife akiwa period anakua na genye vibaya sana mwanzo nilikua simuelewi ila sasa yaani hata kama anavuja pedi inawekwa pembeni napeleka motoGenye na hizo mood swings [emoji23] Basi nakuwa kama chui mjamzito, visirani si vya nchi hii
We jamaa unapenda sana maku ya wife wako, hata sikushangai we jitafunie tu,Wewe kama wife akiwa period anakua na genye vibaya sana mwanzo nilikua simuelewi ila sasa yaani hata kama anavuja pedi inawekwa pembeni napeleka moto
pia wengine wanakuwa wana hamu sana ya vitu vitamu vitamu kama pipi, ila hii ni kawaida kwa mwanamke. mwanaume usitake kuanza kujitafutia makosa ambayo hujafanyaKwa kuwa umeuliza swali la kibabe kidogo, ngoja upate majibu ya kibabe pia...
Kati ya mwanaume na mwanamke, sehemu kubwa ya mwenendo wa siku za mwanamke huongozwa na mabadiliko ya vichocheo 'hormones'...
Kwa mwanamke huwa kuna kitu kinaitwa Premenstrual syndrome (PMS), ni mkusanyiko wa dalili za kimaumbile au kihisia ambazo huanza angalau wiki moja kabla ya hedhi. PMS ndio inayopelekea mwanamke kuwa tu na tabia ambazo ndio hizo umezitaja "feel moodier than usual"
Chocolate hivi maana zinasaidia cramps .pia wengine wanakuwa wana hamu sana ya vitu vitamu vitamu kama pipi, ila hii ni kawaida kwa mwanamke. mwanaume usitake kuanza kujitafutia makosa ambayo hujafanya
kosa ni pale nisipoleta hivyo vitamu,,, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Chocolate hivi maana zinasaidia cramps .
Cravings huwa zinanisumbua mno , kila kitu natamani kula tena lazima nikipate .
Dah acha tukosa ni pale nisipoleta hivyo vitamu,,, [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamani watu mna maneno[emoji1787][emoji1787]Genye na hizo mood swings [emoji23] Basi nakuwa kama chui mjamzito, visirani si vya nchi hii