Hakupendi anajilazimisha (kama hajafika menopause)Na hapo ndio kwenye changamoto nyingine,ukiwahi eti haumridhishi na ukichelewa eti wanachubuka,japo kwake haiko hivyo ila jambo hilo ndilo limekuwa changamoto kwake lakini naona sasa na kwangu limekuwa kero maana sipendi kuona akilalamika kuchubuka