Nakazia.Mwanaume msengeee pake yake ndio anaoa mwanamke over 30
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakazia.Mwanaume msengeee pake yake ndio anaoa mwanamke over 30
Basi wapo wengi sad news 😢Mwanaume msengeee pake yake ndio anaoa mwanamke over 30
AiseeView attachment 3215776
Sio maneno yangu ni maneno ya mwanasaikolojia. Anasema mwanamke 30yrs hana jipya. Ametumika na wanaume wengi anatafuta pensheni na sio ndoa
Atakuwa anagongwa tuMwanamke akiwa na kazi ya kumpatia pesa/kipato kuolewa siyo lazima.
Wewe umeona ndoa mbili, tatu ndio ufanye conclusion?Mbona Kila siku naona ndoa za wadada wa miaka 30' Sion hao wa umri chin ya hapo au hao mnaowataka nyie mbona hamuwaoi
Labda nae hajaolewa then single mama huku mileage ikisoma 33Hadi mtangazaji anaona aibu.
Cheki anavopata shida hapo.