Kwanini Mwanamke siku ambayo anamsaliti Mpenzi wake huwa mchangamfu na huongeza upendo Kwake?

Kwanini Mwanamke siku ambayo anamsaliti Mpenzi wake huwa mchangamfu na huongeza upendo Kwake?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Inasemekana kwamba siku ambayo Mpenzi / Demu / Mkeo akijua kuwa anaenda Kukusaliti / Kubanduliwa na Mwanaume / Njemba mwingine huwa anakuwa anakuchangamkia mno tena kupita kiasi au siyo kama kawaida yake na pia hujifanya anakupenda kuliko maelezo?

Nitashukuru nikijibiwa.

Nawasilisha.
 
Kumbe mke wako anakuchangamkiaga akianza kuja kwangu, hiyo mbinu nilimpa mimi wengine hawapo hivyo
 
Sio kwamba anakuchekea kukufurahia . Ni kwamba anafurahi anaenda kupata kitu swaaafiii roho inapenda!
 
Inasemekana kwamba siku ambayo Mpenzi / Demu / Mkeo akijua kuwa anaenda Kukusaliti / Kubanduliwa na Mwanaume / Njemba mwingine huwa anakuwa anakuchangamkia mno tena kupita kiasi au siyo kama kawaida yake na pia hujifanya anakupenda kuliko maelezo?

Nitashukuru nikijibiwa.

Nawasilisha.
Kijana umepotea kabisa! Hata kwenye vijiwe vyetu hatuonani tena! Kulikoni mkuu wa itifaki??
 
Kijana umepotea kabisa! Hata kwenye vijiwe vyetu hatuonani tena! Kulikoni mkuu wa itifaki??

Nipo tu Kiongozi na Boss wangu sema tu hapa kati Makinikia na Osoro vilinichanganya kidogo ila jana Barrick amenibariki.
 
Ndo Mana sasa hv tumeamua kuwa Players
Mambo kujidai kumpenda mtu kihivoo Hell Noo

Mkuu kumbe Wewe mwenzangu hadi leo bado unapenda tu? Mwenzako niliacha rasmi kupenda mwaka 2010 na hata sasa hivi sipendi Mwanamke aniambie kuwa ananipenda kwani nina uhakika kuwa leo hii Wanawake ambao wakisema wanakupenda Kiukweli kutoka Moyoni basi katika Wanawake Milioni moja utawabahatisha wawili au wanne tu. Kuna kamoja juzi kati kaliniambia Kananipenda nilikapa bonge la Bao kisha nikamwambia kuwa akiwa na Mimi GENTAMYCINE sitaki aniambie ananipenda bali aseme tu anapenda tubanduane au tukabanduane na nashukuru kuwa sasa hivi kanafuata amri na sheria zangu.

Ukiona Mwanamke anakuambia kuwa anakupenda Mkuu basi kwa 100% jua anakutukana na anakusanifu tu. Amka!
 
Back
Top Bottom