Kwanini Mwanamke siku ambayo anamsaliti Mpenzi wake huwa mchangamfu na huongeza upendo Kwake?

Kwanini Mwanamke siku ambayo anamsaliti Mpenzi wake huwa mchangamfu na huongeza upendo Kwake?

Inasemekana kwamba siku ambayo Mpenzi / Demu / Mkeo akijua kuwa anaenda Kukusaliti / Kubanduliwa na Mwanaume / Njemba mwingine huwa anakuwa anakuchangamkia mno tena kupita kiasi au siyo kama kawaida yake na pia hujifanya anakupenda kuliko maelezo?

Nitashukuru nikijibiwa.

Nawasilisha.


Ukweli Mtupu ili umpe ruhusa bila kinyongo
 
Poa mkuu! Tutafutane bhana! Si unajua tena!

Haina noma Mkuu na Boss wangu wa Kazi. Jamaa lakini si alikupa Contacts zangu siku zile au? Namba zako si ni zile zile au? Kuna vitu vichache sana navimalizia na baada ya hapo nitakuwa free sana kwani hata Jamaa nae alisema kuwa akimaliza Papers zake UDSM angependa tukutane wote angalau tudumishe U SAUT na U Darfur wetu na pia tuweze kubadilishana mawazo yenye kuelekea katika ujenzi zaidi.

Tupo pamoja sana Kiongozi wangu na bado naendelea tu kuwatiririsha na kuwasereresha wana JF.
 
Haina noma Mkuu na Boss wangu wa Kazi. Jamaa lakini si alikupa Contacts zangu siku zile au? Namba zako si ni zile zile au? Kuna vitu vichache sana navimalizia na baada ya hapo nitakuwa free sana kwani hata Jamaa nae alisema kuwa akimaliza Papers zake UDSM angependa tukutane wote angalau tudumishe U SAUT na U Darfur wetu na pia tuweze kubadilishana mawazo yenye kuelekea katika ujenzi zaidi.

Tupo pamoja sana Kiongozi wangu na bado naendelea tu kuwatiririsha na kuwasereresha wana JF.
Nakuaminia mkuu wangu, ndiyo no zangu ni zile zile! Jamaa hakunipa wakati tunataka kunipa no,alipiguwa na kutoka huko kwao! Akasepa faster kama mshale
 
Nakuaminia mkuu wangu, ndiyo no zangu ni zile zile! Jamaa hakunipa wakati tunataka kunipa no,alipiguwa na kutoka huko kwao! Akasepa faster kama mshale

Usijali nitakutafuta Mkuu wangu wa Kazi na Boss wangu. Jamaa lazima awe busy sasa hivi si unajua tena yanayoendelea?
 
Sio kwamba anakuchekea kukufurahia . Ni kwamba anafurahi anaenda kupata kitu swaaafiii roho inapenda!
Kama avatar yako. Inaonyesha wew bingwa sana wa kuchepuka. Utakipata unachokitafuta
 
Mkuu kumbe Wewe mwenzangu hadi leo bado unapenda tu? Mwenzako niliacha rasmi kupenda mwaka 2010 na hata sasa hivi sipendi Mwanamke aniambie kuwa ananipenda kwani nina uhakika kuwa leo hii Wanawake ambao wakisema wanakupenda Kiukweli kutoka Moyoni basi katika Wanawake Milioni moja utawabahatisha wawili au wanne tu. Kuna kamoja juzi kati kaliniambia Kananipenda nilikapa bonge la Bao kisha nikamwambia kuwa akiwa na Mimi GENTAMYCINE sitaki aniambie ananipenda bali aseme tu anapenda tubanduane au tukabanduane na nashukuru kuwa sasa hivi kanafuata amri na sheria zangu.

Ukiona Mwanamke anakuambia kuwa anakupenda Mkuu basi kwa 100% jua anakutukana na anakusanifu tu. Amka!
Yani sasa hivi ni kuambiana Ukweli Tu Watu wapeane Raha kila mtu aende zake
 
Ni zuga tu ya kukuonyesha kuwa anakujali kumbe anafurahia kimoyomoyo leo nimekamata boya langu
 
Inasemekana kwamba siku ambayo Mpenzi / Demu / Mkeo akijua kuwa anaenda Kukusaliti / Kubanduliwa na Mwanaume / Njemba mwingine huwa anakuwa anakuchangamkia mno tena kupita kiasi au siyo kama kawaida yake na pia hujifanya anakupenda kuliko maelezo?

Nitashukuru nikijibiwa.

Nawasilisha.
Hahaha
 
Back
Top Bottom