Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasemekana kwamba siku ambayo Mpenzi / Demu / Mkeo akijua kuwa anaenda Kukusaliti / Kubanduliwa na Mwanaume / Njemba mwingine huwa anakuwa anakuchangamkia mno tena kupita kiasi au siyo kama kawaida yake na pia hujifanya anakupenda kuliko maelezo?
Nitashukuru nikijibiwa.
Nawasilisha.
Poa mkuu! Tutafutane bhana! Si unajua tena!
[emoji7] I love youuuuu so much
Nakuaminia mkuu wangu, ndiyo no zangu ni zile zile! Jamaa hakunipa wakati tunataka kunipa no,alipiguwa na kutoka huko kwao! Akasepa faster kama mshaleHaina noma Mkuu na Boss wangu wa Kazi. Jamaa lakini si alikupa Contacts zangu siku zile au? Namba zako si ni zile zile au? Kuna vitu vichache sana navimalizia na baada ya hapo nitakuwa free sana kwani hata Jamaa nae alisema kuwa akimaliza Papers zake UDSM angependa tukutane wote angalau tudumishe U SAUT na U Darfur wetu na pia tuweze kubadilishana mawazo yenye kuelekea katika ujenzi zaidi.
Tupo pamoja sana Kiongozi wangu na bado naendelea tu kuwatiririsha na kuwasereresha wana JF.
Duh!!!Watu mnaooa mna viherehere sana,kwanini huoe?
Kuna haja gani ya kufuga ng'ombe wakati unapata maziwa?
Ohooooo!!!Anatafuta "starter" ya huko aendako
Nakuaminia mkuu wangu, ndiyo no zangu ni zile zile! Jamaa hakunipa wakati tunataka kunipa no,alipiguwa na kutoka huko kwao! Akasepa faster kama mshale
hahahahaha, tehe teheOhooooo!!!
Kama avatar yako. Inaonyesha wew bingwa sana wa kuchepuka. Utakipata unachokitafutaSio kwamba anakuchekea kukufurahia . Ni kwamba anafurahi anaenda kupata kitu swaaafiii roho inapenda!
Avatar yangu imekaa kichepukachepuka sio..basi sawaaaa!Kama avatar yako. Inaonyesha wew bingwa sana wa kuchepuka. Utakipata unachokitafuta
Yani sasa hivi ni kuambiana Ukweli Tu Watu wapeane Raha kila mtu aende zakeMkuu kumbe Wewe mwenzangu hadi leo bado unapenda tu? Mwenzako niliacha rasmi kupenda mwaka 2010 na hata sasa hivi sipendi Mwanamke aniambie kuwa ananipenda kwani nina uhakika kuwa leo hii Wanawake ambao wakisema wanakupenda Kiukweli kutoka Moyoni basi katika Wanawake Milioni moja utawabahatisha wawili au wanne tu. Kuna kamoja juzi kati kaliniambia Kananipenda nilikapa bonge la Bao kisha nikamwambia kuwa akiwa na Mimi GENTAMYCINE sitaki aniambie ananipenda bali aseme tu anapenda tubanduane au tukabanduane na nashukuru kuwa sasa hivi kanafuata amri na sheria zangu.
Ukiona Mwanamke anakuambia kuwa anakupenda Mkuu basi kwa 100% jua anakutukana na anakusanifu tu. Amka!
HahahaInasemekana kwamba siku ambayo Mpenzi / Demu / Mkeo akijua kuwa anaenda Kukusaliti / Kubanduliwa na Mwanaume / Njemba mwingine huwa anakuwa anakuchangamkia mno tena kupita kiasi au siyo kama kawaida yake na pia hujifanya anakupenda kuliko maelezo?
Nitashukuru nikijibiwa.
Nawasilisha.