Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Shalom,
Inakuawaje mwanaume anapojiona ni star katika fani mfano music, football, movie, Djs na etc hutumia muda mwingi kujibrand na muonekano wa kike mfano nywele, hereni, kujichubua, vipini, kusuka nywele na etc.
Je, wanajukwaa tatizo ni nini ama chachu yake nini.
Ni hayo tu
Wadiz
Siku ukijua kuwa mpango wa ibilisi shetani ni kuwageuza wanaume wawe kama wanawake na wanawake wawe kama wanaume, hutauliza tena.Shalom,
Inakuawaje mwanaume anapojiona ni star katika fani mfano music, football, movie, Djs na etc hutumia muda mwingi kujibrand na muonekano wa kike mfano nywele, hereni, kujichubua, vipini, kusuka nywele na etc.
Je, wanajukwaa tatizo ni nini ama chachu yake nini.
Ni hayo tu
Wadiz
Mess,Eto,o, Ronaldo De Lima au umezungumzia baadhi tu?Shalom,
Inakuawaje mwanaume anapojiona ni star katika fani mfano music, football, movie, Djs na etc hutumia muda mwingi kujibrand na muonekano wa kike mfano nywele, hereni, kujichubua, vipini, kusuka nywele na etc.
Je, wanajukwaa tatizo ni nini ama chachu yake nini.
Ni hayo tu
Wadiz
Atari sana unaonekana una historia za zamani zile.Kujiremba ni asili ya mwanaume, sema tu mambo yalibadilishwa na wanamageuzi.
Soma vitabu vya kidini angalia asili ya wanyama wote, dume ni mzuri kuliko jike. Hiyo haipo kibahati mbaya. Ilipaswa kuwa hivyo.
Haiwezekani mbavu ikawa nzuri kuliko mwili wote.
Atari?Atari sana unaonekana una historia za zamani zile.
lazima upinge kwa staili hii maana nakuona kwa mbali umevaa kipini mwaaaaaaWivu saa nyingine unaletaga mawazo ya kiwaki sana,tafuta hela ndugu
Mademu ndio mashabiki wao wakubwa kwahyo wanahisi wakifanana nao ndio watakua wanaongea lugha mojaShalom,
Inakuawaje mwanaume anapojiona ni star katika fani mfano music, football, movie, Djs na etc hutumia muda mwingi kujibrand na muonekano wa kike mfano nywele, hereni, kujichubua, vipini, kusuka nywele na etc.
Je, wanajukwaa tatizo ni nini ama chachu yake nini.
Ni hayo tu
Wadiz