cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ona Ray kigosi alivyo Kama shoga Ray wa wakati wa dhiki anemkana Ray wa wakati wa umaarufu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ona Ray kigosi alivyo Kama shoga Ray wa wakati wa dhiki anemkana Ray wa wakati wa umaarufu
Hao tayari wameshavuliwa ubingwa katika safari yao ya kuusaka ustar ndiyo maana hawaoni noma kujibrand hivyo. Si ulimsikia Chid Benz anasema robo tatu ya wasanii wanalika, unaweza kuona ni maneno ya teja lakini ukiangalia swaga zao utaona kuna ukweli.Shalom,
Inakuawaje mwanaume anapojiona ni star katika fani mfano music, football, movie, Djs na etc hutumia muda mwingi kujibrand na muonekano wa kike mfano nywele, hereni, kujichubua, vipini, kusuka nywele na etc.
Je, wanajukwaa tatizo ni nini ama chachu yake nini.
Ni hayo tu
Wadiz
Mmmmh wewe unabidi ukapimwe MKOJO pale NIMR😁😁😁 Kwana wewe ni Me au Ke au Ladies&Gentlemen😂😂?Kujiremba ni asili ya mwanaume, sema tu mambo yalibadilishwa na wanamageuzi.
Soma vitabu vya kidini angalia asili ya wanyama wote, dume ni mzuri kuliko jike. Hiyo haipo kibahati mbaya. Ilipaswa kuwa hivyo.
Haiwezekani mbavu ikawa nzuri kuliko mwili wote.
Hayo niliyoyaongea yana ukweli au uongo?.Mmmmh wewe unabidi ukapimwe MKOJO pale NIMR😁😁😁 Kwana wewe ni Me au Ke au Ladies&Gentlemen😂😂?