Kwanini mwanaume akiwa star anatamani muonekano na hulka za jinsia ya kike

Hao tayari wameshavuliwa ubingwa katika safari yao ya kuusaka ustar ndiyo maana hawaoni noma kujibrand hivyo. Si ulimsikia Chid Benz anasema robo tatu ya wasanii wanalika, unaweza kuona ni maneno ya teja lakini ukiangalia swaga zao utaona kuna ukweli.
 
Mmmmh wewe unabidi ukapimwe MKOJO pale NIMR😁😁😁 Kwana wewe ni Me au Ke au Ladies&Gentlemen😂😂?
 
Mmmmh wewe unabidi ukapimwe MKOJO pale NIMR😁😁😁 Kwana wewe ni Me au Ke au Ladies&Gentlemen😂😂?
Hayo niliyoyaongea yana ukweli au uongo?.
Angalia simba dume alivyo, angalia mbwa yoyote dume alivyo, paka, njiwa, kuku hadi mbuzi nao utarudi kukubaliana nami.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…