Kwanini mwanaume anapiga goti anapomvisha pete ya uchumba binti?

Anayeenda kuomba uchumba ni mwanaume so kupiga goti ni kama ishara ya kuomba

Hata hivyo inategemea makubaliano yenu ni nani apige,unaweza kupiga ama akapiga yeye ama mkasimama wote
Hili nalo linahitaji makubaliano?
Nafikiri ni utashi tu.
Liko wazi hili,,
 
Mambo ya queen Elizabeth .Colonization
 
[emoji23][emoji23][emoji23]dah
 
Kwa Mungu ñdio goti linapigwa only


Nyie Ladies ñdo mpige wakati wa kuvishwa ukigoma nahairisha shughuli
 
Mwanamke Kama humuelewi unamwelekeza kabisa akachukue pete mwenyewe kwa sonara avae kabisa huko huko akija ni kuendelea na Mambo mengine ya msingi maswala ya kusuprise kisa Pete tuwachie Western people's
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…