Kwanini mwanaume anapiga goti anapomvisha pete ya uchumba binti?

Kwanini mwanaume anapiga goti anapomvisha pete ya uchumba binti?

Ningekinukisha hapo hapo ukumbini.

Si unajua drama za Black Women ?

Hizi hizo tena na accent ya Ki Nigeria.
Nimeivuta picha.Na ambavyo akina mama wa Kiafrika hawapendi watoto wao wa kiume wajidhalilishe mbele ya jamii,sijui ingekuwaje hapo!
 
Tunaepuka shari mapema kwa kuwapa watoto wetu malezi ya kiume.

Wajijue kwamba wao ndo kiumbe superior chini ya jua hawapigi pigi goti ovyo labda kwa Muumba wao.
Shukrani sana.Kama mwanakamati,naomba sauti iwe ya juu zaidi.Maana hawa vijana wetu usikivu na utendaji wa kimaadili upo chini.
 
Tunaepuka shari mapema kwa kuwapa watoto wetu malezi ya kiume.

Wajijue kwamba wao ndo kiumbe superior chini ya jua hawapigi pigi goti ovyo labda kwa Muumba wao.
Cha kushangaza utakuta Baba na mama nao wako kwenye tukio wakishuhudia kijana wao tena mtu wa gym akipiga magoti mbele ya mdada...
 
Mimi nikija kuvishwa pete ntapiga mimi goti
1644810166063.png


1644810205486.png


1644810244515.png
 
MWANAMKE ALISHATUMIKA MBELE NA NYUMA
KAPAKATWA MPAKA NA VIBABU
LEO UNAPIGA GOTI, UNALIA MACHOZI, UNATOA NA KAMASI , NA KUJAMBA PIA!

NA KWENYE MAISHA YAKO HUKUWAI KUMPIGIA GOTI MAMA AU BABA YAKO.

FALA KAMA FALA!
 
Vijana wa kisasa huwa wanafanya mambo bila kujua hayo mambo au matendo ni ishara au codes kumaanisha jambo. Kwa kifupi ni wachache sana huwa wanajua maana ya hiyo kitu. Ila nitawalezea.

Mwanaume kupiga goti ni utamaduni wa tokea enzi za falme za huko barani ulaya miaka ya akina malkia (Medieval era)

Katika utamaduni wale vijana maaskari au wajeda walikuwa wakienda vitani na kurejea salama baada ya mapigano ya muda mrefu wakifika katika miji yao na kukuta wale mabinti waliokuwa wakiwataka au kuwapenda bado ni bikra na hawakuwahi ingiliwa wala kufanya mapenzi au kuwa na mahusino na mwanaume mwingine yoyote then hii ilikuwa inachukuliwa kama ni ishara ya mwanamke kuwa msafi wa nafsi na muaminifu au kwa English wanasema mwanamke huyu ni very Loyal kwa huyu mwanaume.

So kwa heshima huyu mwanaume anampigia goti huyu mwanamke mbele ya umati na kuomba ridhaa ya kumuoa na kupewa nafasi ya kuitwa bikra ile na heshima yake.

Na jambo la ziada mjue. Mwanamke ambae alikuwa proposed akiwa katika katika hali ya ubikra yaani alikuwa na bikra then huyo ndio anastahili kuvaa shela Jeupe kuashiria usafi wa nafsi katika ndoa na ndio maana shela hufunikwa na wavu kama ishara ya mwanaume kumfunua huyu mwanamke na kuanza nae maisha.

Sasa miaka hii unakuta demu limepigwa pumbu na washkaji hadi basi we unapiga goti kukaribisha minuksi kwenye uzao wako. Anavaa shela Jeupe huku ndani kashamwagiwa shahawa na vidume lukuki, keshatoa mimba mara kadhaa, kesha nyonya midudu kibao, we unapiga goti na kulia michozi fala kabisa.

Huyo ulitakiwa pete aivae mwenyewe tena akaichukulie kwa sonara.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km kawaida yako, kupiga panapouma lol
 
Cha kushangaza utakuta Baba na mama nao wako kwenye tukio wakishuhudia kijana wao tena mtu wa gym akipiga magoti mbele ya mdada...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa Mungu kila goti litapigwa ila wakina rehema, mwamvua, na wenzake kwakweli kila goti litapigwa
 
Demu unalipigia magoti kumbe usiku wa kuamkia Jana kumbe limetoka kutandikwa mijeredi na waajemi lipo limechokaaaaa nyonga na upuuz wa unapiga goti
 
Kupiga magoti ni ishara tu ya upendo [emoji4], na si kama wanaume wengi wanavyodhani [emoji18][emoji18]
Baba yako na mama yako bila shaka wanakupenda sana. WAMESHAKUPIGIA MAGOTI MARA NGAPI ?!! (Vijisichana vya kileo ni mbuzi hamna akili)
 
Toxic Masculinity in full display here.
And thats how it ought to be. Musculinity all the fucken way hata Mungu ni Mungu baba hakunaga Mungu mama au Mungu shangazi, so yo all stupid feminists sit tight bitches.
 
Back
Top Bottom