Kwanini mwanaume anapiga goti anapomvisha pete ya uchumba binti?

Kwanini mwanaume anapiga goti anapomvisha pete ya uchumba binti?

Ni ufedhuli tu na uzaifu
JamiiForums-368542019.jpg


Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni wewe tu na pigo zako za kumvisha ....Unaweza mvisha yeye amechuchumaaa wewe unanimg'inia kwenye feni mkuu
 
To propose.... kupiga magoti sio utaratibu wa kiafrika, na kupropose kwa kumvalisha pete ya uchumba sio utamaduni original wa kiafrika. Kwa makabila mengi utaratibu ilikuwa unawatuma
Wehehe,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kijiko kumpuigia MWANAMKE magoti inabidi umpigie fimbo
 
Mimi niligoma katakata yaani niliwaza mahari nilipe mm, pete ninunue mm na gharama nyingine kibao kama nguo etc.. na bado goti nipige akili ikagoma kabisa na sikupiga goti. Ila kuna mwanangu mmoja tena ni mkurya ngumi mkononi mkorofi balàa tunashangaa anaenda mvisha pete demu wake full kupiga goti watu tukabaki mdomo wazi, tukajisemea kipenda roho..
 
Wazee wa uvinza kupiga magoti nayo kazi kwani!!!? Kama ukiwa unachimba makinikia mgodini unapiga iweje kwenye kumvesha pete ikusumbue ujeuri tu na ujuaji me sijapenda kabisa nyenyekea umpate mtoto mzuri huyo .

Kwani hujui wanawake wanapenda kuwaweka wanaume kiganjani akucontol kwa kila kitu alafu awatambie shoga zake yule baba flani hizo kelele zake ni huko nje kwangu hakohoi[emoji2][emoji2]!!
 
Wakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.

Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.

Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?

Msaada kwa wajuzi wa haya mambo ,, kuna binti wa mtu kanikalia kooni kuhitaji nimvishe pete ya uchumba nisije umbuka [emoji4]

MEK_TZ
Ni upoyoyo
 
wazee wa uvinza kupiga magoti nayo kazi kwani!!!? Kama ukiwa unachimba makinikia mgodini unapiga iweje kwenye kumvesha pete ikusumbue ujeuri tu na ujuaji me sijapenda kabisa nyenyekea umpate mtoto mzuri huyo . kwani hujui wanawake wanapenda kuwaweka wanaume kiganjani akucontol kwa kila kitu alafu awatambie shoga zake yule baba flani hizo kelele zake ni huko nje kwangu hakohoi[emoji2][emoji2]!!
[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuna Jamaa alipiga Magoti ili amvishe Pete mpenzi wake. Ajabu yule Dada alimsimamisha yule Kaka na Yeye ndio akapiga Magoti. Aseee watu wote waliokuwepo walimpa sifa yule Dada na zawadi za kutosha. Jamaa aliona aibu sana.

Anyway mimi siafiki kupiga Magoti ni Ujinga.
 
Kupiga magoti ni ishara tu ya upendo [emoji4], na si kama wanaume wengi wanavyodhani [emoji18][emoji18]
 
Ni utamaduni ulio duni kwani baba ndio kichwa mama msaidizi. Kupiga magoti mwanaume ni kumpa madaraka mwanamke.
Fanyeni tafiti za waliopiga goti/magoti mjue ndoa zao zikoje!
Kuiga tembo kunya!
 
Back
Top Bottom