Kwanini Mwanaume huwa anakataa mimba/ujauzito?

Kwanini Mwanaume huwa anakataa mimba/ujauzito?

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Kwa mwanaume makini na halisi hawezi kukataa mimba kwa mwanamke aliyelala nae na kufanya nae tendo la ndoa hakika hawezi kuikataa.

Iko hivi mwanaume mwenye akili timamu ambae anaweza kuikataa mimba ni pale mwanamke unapokuwa kiruka njia yaani unachnganya wanaume kama shanga leo upo na iddi kesho kesy kesho kutwa una joseph au john.

Sasa kwa mwanaume mwenye akili zake akija kujua hili hata kama nikweli ile mimba ni yake na kuhakikishia hataweza kuikubali abadani otherwise huyo mwanaume atakae ikubali hiyo mimba ni fala hajielewi.

Mwanaume akiwa na uhakika yupo mwenyewe na hata kitaa kinajua hivyo hata ukimwambia una mimba yake ataipokea kwa mikono miwili na kwa furaha tele.Hii mara mnafumaniana wanaume zaidi ya2 halafu uje uambiwe nina mimba yako hiyo mimba hakuna atakaye ikubali.

Hivyo ninapo pinga single mother awe dada yangu awe nani kamwe siwezi mtetea single mother.Single mother ni yule aliyefiwa na mme wake tu ninyi mliobaki hamfai kutetewa kwa namna yoyote ile.

Narudia kusema mwananume anaye kataa mimba yake bila sababu moja tajwa hapo juu basi anatatizo au anaogopa majukumu au tumuite ni mvulana hajitambui.

Lakini mwanaume yeyote yule anayekataa mimba kwa sababu tajwa hapo juu huyo ndiye mwanaume halisi mwenye kujitambua na mwenye msimamo thabiti.

Mimi niliwahi kukataa mimba ikiw imebakiza miezi3 tu ajifungue ni baada ya kukamata meseji wakiambiana wakamkomaze mtoto!! Kuanzia hapo nilimwambia aendelee na mshikaji wake na mimi sihusiki tena.

Jamaa aliposikia nishakataa kuhudumia naye akajikataa hana maandalizi yoyote ya kujifungua kwao napo njaa kalii nami nikakaza ileile hadi mwisho.Siku yupo hospital anajifungua ananimbia nikamjibu mimi ndo DR?
Alipojifungua akanimbia njoo uone mtoto wako nikamwambia huyo mtoto atakuwa wa maajabu yaani mtoto mmoja baba zake wawe2?

Bahati mtoto alipozaliwa alinifanana mimi kila kitu nilikomaa kukataa badae sana kama miaka2 na miezi kadhaa ndo nikaona haina jinsi dogo kafanana hadi kigugumizi sio siri tena!!

HAKUNA MWANAUME WA KUKATAA MIMBA UKIONA HIVYO UJUE UMECHANGANYA MAFAILI MWENYEWE AU ULIKUWA UNADATE NA MVULANA.
 
Yaani swali lako umejijibu mwanzo tu wa sentensi, mengine hayo umejiandikia tu.
Mwanaume asiyekua makini lazma akatae mimba.
Mwanaume ambaye si makini:
Hajajipanga kulea.
Hajiamini
Hajui uhalisia , hana uhakika wa mimba.

Of which it's not bad. Ambao wapo makini wote hukubali mimba. Simple. Kwenye ujana wangu nilikataa mimba nikaja kukubali baadae sana. Mtoto kazaliwa. Sikua makini. Ila baadae kumbe mambi yanaenda tu. Mimba mambo ya kawaida.

Umakini unakujaje.
Wazazi watakubali mimba?
Watanionaje mm kijana wao?
Hata sijao nampa mwanamke mimba?
Daah ntaweza kuilea kweli?
Nitamleaje huyu mwanamke, ntakaa nae wapi?
Mbona siko tayari kuwa na mwanamke huyu.si chaguo langu.

Wanaume wasio makini oyeee(in the voice of mtoto wa nyerere)
 
Yaani swali lako umejijibu mwanzo tu wa sentensi, mengine hayo umejiandikia tu.
Mwanaume asiyekua makini lazma akatae mimba.
Mwanaume ambaye si makini:
Hajajipanga kulea.
Hajiamini
Hajui uhalisia , hana uhakika wa mimba.

Of which it's not bad. Ambao wapo makini wote hukubali mimba. Simple. Kwenye ujana wangu nilikataa mimba nikaja kukubali baadae sana. Mtoto kazaliwa. Sikua makini. Ila baadae kumbe mambi yanaenda tu. Mimba mambo ya kawaida.

Umakini unakujaje.
Wazazi watakubali mimba?
Watanionaje mm kijana wao?
Hata sijao nampa mwanamke mimba?
Daah ntaweza kuilea kweli?
Nitamleaje huyu mwanamke, ntakaa nae wapi?
Mbona siko tayari kuwa na mwanamke huyu.si chaguo langu.

Wanaume wasio makini oyeee(in the voice of mtoto wa nyerere)
Hayo ni maoni yangu. Na nimeona kwa macho yangu demu mmoja alipata ujauzito akaupeleka tuite kwa paul, paul akaukataa ule ujauzito yule demu akaona aupeleke kwa rashidi ...rashidi akakubali ile kwao ndo wakasimima kuikataa wakisema kama ingekuwa yako hakika angeileta moja kwa moja hapa kuna mashaka mengi.

Rashid akawa anahudumia kisirisiri ile mimba hadi akajifungua na bada ya muda baba mtoto akajitokeza hakuwa sehemu ya walio pelekewa ile mimba.

Swali Paul aliyeikataa alikuwa sahihi au hakuwa sahihi?
 
Hayo ni maoni yangu. Na nimeona kwa macho yangu demu mmoja alipata ujauzito akaupeleka tuite kwa paul, paul akaukataa ule ujauzito yule demu akaona aupeleke kwa rashidi ...rashidi akakubali ile kwao ndo wakasimima kuikataa wakisema kama ingekuwa yako hakika angeileta moja kwa moja hapa kuna mashaka mengi.

Rashid akawa anahudumia kisirisiri ile mimba hadi akajifungua na bada ya muda baba mtoto akajitokeza hakuwa sehemu ya walio pelekewa ile mimba.

Swali Paul aliyeikataa alikuwa sahihi au hakuwa sahihi?
Alikua sahihi wote walikua sahihi, soma nilichoandika kama kweli wewe mtoto wa kiume utaelewa. Tena haswa ukiwa mtanzania uliyelelewa na wazaz.
 
Alikua sahihi wote walikua sahihi, soma nilichoandika kama kweli wewe mtoto wa kiume utaelewa. Tena haswa ukiwa mtanzania uliyelelewa na wazaz.
Nikubaliane nawewe kwa kusema uko sawa kwa upande wako but kwangu sio sawa!

Mimi nikishagundua tupo wawili tu hiyo mimba hainihusua tena nitasubiri mtoto na asipo nifafa hakika sitamchukua au kutoa matumizi sitaweza.Kama kashindwa kujiheshimu mwenyewe mimi nitaweza vipi kumpa heshima asiyoitaka?
 
Kwa mwanaume makini na halisi hawezi kukataa mimba kwa mwanamke aliyelala nae na kufanya nae tendo la ndoa hakika hawezi kuikataa.

Iko hivi mwanaume mwenye akili timamu ambae anaweza kuikataa mimba ni pale mwanamke unapokuwa kiruka njia yaani unachnganya wanaume kama shanga leo upo na iddi kesho kesy kesho kutwa una joseph au john.

Sasa kwa mwanaume mwenye akili zake akija kujua hili hata kama nikweli ile mimba ni yake na kuhakikishia hataweza kuikubali abadani otherwise huyo mwanaume atakae ikubali hiyo mimba ni fala hajielewi.

Mwanaume akiwa na uhakika yupo mwenyewe na hata kitaa kinajua hivyo hata ukimwambia una mimba yake ataipokea kwa mikono miwili na kwa furaha tele.Hii mara mnafumaniana wanaume zaidi ya2 halafu uje uambiwe nina mimba yako hiyo mimba hakuna atakaye ikubali.

Hivyo ninapo pinga single mother awe dada yangu awe nani kamwe siwezi mtetea single mother.Single mother ni yule aliyefiwa na mme wake tu ninyi mliobaki hamfai kutetewa kwa namna yoyote ile.

Narudia kusema mwananume anaye kataa mimba yake bila sababu moja tajwa hapo juu basi anatatizo au anaogopa majukumu au tumuite ni mvulana hajitambui.

Lakini mwanaume yeyote yule anayekataa mimba kwa sababu tajwa hapo juu huyo ndiye mwanaume halisi mwenye kujitambua na mwenye msimamo thabiti.

Mimi niliwahi kukataa mimba ikiw imebakiza miezi3 tu ajifungue ni baada ya kukamata meseji wakiambiana wakamkomaze mtoto!! Kuanzia hapo nilimwambia aendelee na mshikaji wake na mimi sihusiki tena.

Jamaa aliposikia nishakataa kuhudumia naye akajikataa hana maandalizi yoyote ya kujifungua kwao napo njaa kalii nami nikakaza ileile hadi mwisho.Siku yupo hospital anajifungua ananimbia nikamjibu mimi ndo DR?
Alipojifungua akanimbia njoo uone mtoto wako nikamwambia huyo mtoto atakuwa wa maajabu yaani mtoto mmoja baba zake wawe2?

Bahati mtoto alipozaliwa alinifanana mimi kila kitu nilikomaa kukataa badae sana kama miaka2 na miezi kadhaa ndo nikaona haina jinsi dogo kafanana hadi kigugumizi sio siri tena!!

HAKUNA MWANAUME WA KUKATAA MIMBA UKIONA HIVYO UJUE UMECHANGANYA MAFAILI MWENYEWE AU ULIKUWA UNADATE NA MVULANA.
  1. mwanume anaweza kuikubali mimba ambayo yeye hahusiki, ni kwa kumpenda mwanamke aliyeachwa solemba
  2. mwanaume anaweza kuikubali mimba ya mkewe wa ndoa huku akijua kuwa yeye si mhusika
  3. mwanaume anaweza kukataa kujihusisha na mimba yoyote katika mazingira ya hapo juu (1 &2) kwa sababu anazoona zinafaa kwake
  4. mwanaume anaweza kusakiziwa mimba ndani ya ndoa na nje ya ndoa bila yeye kujua (ni ujanja na siri ya mwanamke kwa mstakabali wa watoto wake)
 
Nikubaliane nawewe kwa kusema uko sawa kwa upande wako but kwangu sio sawa!

Mimi nikishagundua tupo wawili tu hiyo mimba hainihusua tena nitasubiri mtoto na asipo nifafa hakika sitamchukua au kutoa matumizi sitaweza.Kama kashindwa kujiheshimu mwenyewe mimi nitaweza vipi kumpa heshima asiyoitaka?
Sasa hapo ndio mwanaume uliyemuulizia swali. Mwanaume asiye makini. Period. Ushaelewa wewe.
 
Binafsi siwezi kukataa, nataka niwe baba wa watoto 20+
 
Ninavyoongea hapa Niko na kibendi jamaa kasema hataki mtoto,,yaani hana doubt yoyote ana uhakikq mimba ni yake ila kasema hajawahi kuwaza kuzaa na Mimi...alikuwa amenitamani tu kwa sex😓😓😓😓
 
Ninavyoongea hapa Niko na kibendi jamaa kasema hataki mtoto,,yaani hana doubt yoyote ana uhakikq mimba ni yake ila kasema hajawahi kuwaza kuzaa na Mimi...alikuwa amenitamani tu kwa sex😓😓😓😓
daah
 
Back
Top Bottom