We vip? hata serikali hainunuwi magari ya hiyo miaka 2020 to 2022, hata Japan licha ya kutegeneza hizo gari uchumi wao hauwaruhusu kuendesha matoleo mapya, pake wana export new brand cars to Europe na America only to bring them back to refubricate en re-xport in third world, kwa level za Africa na Tz Kurruger sio gari ya bei ya chini ina rage 23m paka 30. wakati specio ist mazda in 12m rav4 18mBei nafuu mambo ya reliable ni fix tu
Wabongo tulowengi bado ni maskin tena maskin hasa ila tunapenda maisha mazuri apo ndo ttzo huanzia
Zunguka Dar Arusha Dodoma kwa ufupi majiji yote tafta gari za mwaka2020 ad2022 ni chache mno tena sana ila tafta gar za 1998 ad2014 izo ni ming sana