Kwanini Mwigulu peke yake?

Kwanini Mwigulu peke yake?

Wivu tu , msonyooo amefanya kosa gani ameua? Ni mwanadamu Anajisahau amezungukwa na wenye aKili ndogo anatakiwa abadilike sio kutolewa

Wewe ndio utajenga uchumi wa Nchi na kutulisha watanzania nikimpleka Kua kiongozi wa ukoo wetu
Kama unaona mwigu Hana hadhi ya kuongoza ukoo wenu iweje atoshe Kwa Tanzania nafasi ya uwaziri?

Charles KIMEI au Dr Assad watatuvusha ktk wizara hiyo. Watamshauri vizuri kiongozi wetu.

Ameeeen
 
Tangu Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kuzungumzia suala Tozo la miamala naona kampeni kubwa inafanyika ndani ya CCM kutaka kumfukuza uwaziri Dk. Mwigulu Lameck Nchemba kwa kile kinachoonekana kusababisha matatizo makubwa kwa wananchi.

Kwanini iwe Mwigulu Nchemba peke yake, Je ni kweli katika Serikali hii ni Waziri Mwigulu pekee aliyefanya mambo mabaya na kusababisha wananchi kupata shida? Kwanini wengine hawatajwi kuna nini?

Kwanini Januari Makamba hatajwi?
Kwanini Hussein Bashe hatajwi?
Kwanini Nape Nnauye hatajwi?

Auhao Wizara wanaziziongoza hazijawakosea watanz

Watwambie pia kama Dr. mwigulu Nchemba alifanya maamuzi peke yake bila ridhaa ya baraza la mawaziri wala bunge kupitisha.
Mwigulu anasimamia kile kilichokubaliwa na wengi ndani ya ccm, baraza la mawaziri na bunge.
 
Kama unaona mwigu Hana hadhi ya kuongoza ukoo wenu iweje atoshe Kwa Tanzania nafasi ya uwaziri?

Charles KIMEI au Dr Assad watatuvusha ktk wizara hiyo. Watamshauri vizuri kiongozi wetu.

Ameeeen
Ukaskazini hatuutaki. Dr. nchemba ndio waziri na ndio nguzo ya uchumi wa tanzania kwa sasa
 
Back
Top Bottom