Idd Simba gani amewahi kuwa mufti,mnatengeneza uongo usio na tija kwa sababu ya chuki tu.Umeeleza vyema kabisa, ila hujamalizia kuwa aliendelea na fitina na chokochoko zingine mpaka msikitini, kwa Idd Simba na Mufti wa wakati ule kumsema vibaya Mwl. J.K Nyerere kuwa anawaonea Waislam [emoji23]
Aisee Waswahili wana jau sana
Una kichaa? Umesoma vizuri comment yangu?Idd Simba gani amewahi kuwa mufti,mnatengeneza uongo usio na tija kwa sababu ya chuki tu.
Kwahiyo mlikuwa wewe,Idd Simba na Mufti au ulihadithiwa na Mufti au Idd Simba maana naona baada kukutoa nishai umeruka kiunzi.Una kichaa? Umesoma vizuri comment yangu?
Nimesema Idd Simba na Mufti, ni wapi nimeandika kuwa Idd Simba aliwahi kuwa Mufti?
Umenitoa nishai au huna uelewa[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo mlikuwa wewe,Idd Simba na Mufti au ulihadithiwa na Mufti au Idd Simba maana naona baada kukutoa nishai umeruka kiunzi.
Sawa,tuambie wakati Kikwete akimsema Nyerere kwa Idd Simba na Mufti na wewe ulikuwepo au nani kakuhadithia kati yao?Umenitoa nishai au huna uelewa[emoji23][emoji23][emoji23]
Onesha mahali nilipoandika kuwa Idd Simba ni Mufti kama sio Umbea wako
Ushahidi hana kwa kuwa imekaa kimajungu na kifitna hii posti yake.Ebu tupe ushahidi wa kutosha kuwa jk alimchukia nyerere
Huko kilimo kikubwa ni mahindi na maharage, mengine kama ngwara, alzeti, mtama, dengu, ngano sio sana ni kwa uchache.Analima zao gani
🤣🤣Sayore alikuwa mkuu wa kambi ya Monduli wakati Kikwete akiwa mkufunzi wa siasa chuoni pale.. Unganisha nukta.. Sina mwanasheria..
Mwamunyange pia.Yes, mabeyo alikua COS
Ngerengere au sio (Air Force)Mekulia jeshini 601 KJ ila nlikataa kuingia huko dingi alinitafutia connection baada ya f6.
Nkasema sivai sare baada ya sekondari 🤣🤣🤣 saivi nadhani ngekuwa (meja) 😅😅nikachagua kupambana uraiani ila Serikalini