Kwanini Mzee Kikwete hakumteua Luteni Jenerali Gideon Sayore kuwa Mkuu wa Majeshi?

Duuuhh, hatari
 
Hata kwa Umbea, Wivu na chuki kwa Wanaume wenzio?

Hizo ni tabia ya wanawake wa saluni wanaaoneana wivu mpaka kwenye mavazi
 
Kiutawala Mwl Nyerere alikosea mnoo barua yake kurudi kwa mkuu wa majeshi Kisha naye Msuguri akairudisha tena kwa Sayore... kiukweli alifanya kosa kubwa mnoo, na kama yangetokea mauaji basi Mwl Nyerere ndo angelaumiwa
Alikosea Sana, aliyekosea Sana Ni CDF kurudisha barua kwa mlalamikiwa. Nyerere hakuagiza hivyo.
 
Kutoka TMA hadi USA River, shortest possible route ni 56km. Mwamba aliteleza kibabe sana aisee. Swali la kizushi, Mama Salma alimuacha pale Monduli kwa muda gani?
 
Sawa lakini kikwete alkua Ni mpelelezi mkuu so ilkua sahihi kusema au kupeleka taifa
 
Nini kilitokea kwa Kiwelu?
 
Teh teh teh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Wabongo bhana....
 
Sisi tuna FOUNDING FATHERS hatuna Founding Father mmoja. Yes alikuwa mbele, lakini alikuwa na Wapigania Uhuru wengi tu waliomzunguuka.

Ni kama huko Marekani wana Founding Fathers including akina George Washington, Thomas Jefferson, na wengineo wengi.

Tunaojua historia hatukubali eti Nyerere ndiyo Historia ya Tanganyika na Tanganyika ndiyo historia yake.
 
Aahhaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…