Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Hakuwa reformist(mwanamageuzi) katika nchi, Sio intellectual au mwanafalsafa kama Nyerere na Kingereza chake ni cha kawaida tu ila wakati wote amekuwa kipenzi cha viongozi wa siasa magharibi, wafadhili matajiri, mashirika na taasisi zao mbalimbali katika shuguli zao nyingi hususani za Africa!
Siri ni nini yeye kukubalika hivi huko nje?
Siri ni nini yeye kukubalika hivi huko nje?