Pre GE2025 Kwanini Mzee Kinana amewapiga stop wagombea Urais ndani ya CCM miaka miwili kabla ya kufika tarehe ya Uchaguzi?

Pre GE2025 Kwanini Mzee Kinana amewapiga stop wagombea Urais ndani ya CCM miaka miwili kabla ya kufika tarehe ya Uchaguzi?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona kama Dr Samia na wasi wasi sana? Anamwogopa nani?

Membe hayupo waliobaki woote ni Chawa wake tu.
Hofu ya kesi ya uhaini ya kifo cha jpm ndiyo inayo msumbua ...ila atapata tabu sana kama ccm wanafikili watanganyika tupo tayari kuongozwa na mzanzibar tena mpuuzi.
 
Kwasababu aliyepo hajamaliza vipindi vyake,lakini pia anatosha kabisa.

2025 tunaenda na Samia.
 
Mzee Kinana amesema chama kitatumia utamaduni na mila kupata mgombea Urais 2025. Amesema pamoja na demokrasia kuwepo ila kwa muda mrefu inapotokea kupata mgombea Urais tamaduni zinaonyesha kwamba Rais aliyepo lazima apewe nafasi yakuongoza awamu ya pili.

Hii kauli ameitoa leo tarehe 2/01/2024 wakati uchaguzi unatarajiwa kufanyika 2025. Kulikuwa na umuhimu wakuanza kuweka vikwazo kwa wenye nia ya kugombea miaka miwili kabla ya siku ya uchaguzi?

Je, kuna mtu ameonyesha nia yakuchukua fomu kushindana na SSH ndani ya chama? Kama tayari mgombea Urais ndani ya chama anafahamika kwanini wagombea ubunge na udiwani tusiruhusiwe tuanze kujinadi kwa wananchi? Kwanini tupigwe marufuku kujiandaa?
Yeah JPM alikataza pia so ni precedence inafuatwa, in fact Bashiru Ali print Fomu moja pekee na akasema unayetaka kugombea kamuombe JPM akupigie copy stationery!!
 
Hofu ya kesi ya uhaini ya kifo cha jpm ndiyo inayo msumbua ...ila atapata tabu sana kama ccm wanafikili watanganyika tupo tayari kuongozwa na mzanzibar tena mpuuzi.
Tuletee ushahidi hapa tukuamini
 
Back
Top Bottom