Kwanini mzee Yusuph kaacha mziki na Diamond anaendelea..wote si wana imani moja?

Mzee alisema haiimbi tena nyimbo za kidunia ..dini hairuhusu

Vp kwa kijana mondi...au yeye dini yake inaruhusu
Umeuliza kitoto saaana.

Ukristo hauruhusu kuua lakini kuna wakristo wanaoua, wanaotoa talaka, wanaosema uongo, kusengenya (kama wewe) etc.

Uislamu hauruhusu pombe ila wapo waislamu walevi.

Hao ni watu wawili tofauti na kila mmoja anafanya analoona sahihi kwake ila andiko linabaki vile vile kwa Uislamu Mziki ni haramu na kwa Mkristo talaka, uongo etc ni haramu
 
Umekwiva zaidi ya sana my dear wangu
 
Sawa..
 
Kwani vipi Alikiba anaye penda dini kuliko Diamond kaacha?? Ao unataka waanzishe kumtolea matusi domo?
Mzee alisema haiimbi tena nyimbo za kidunia ..dini hairuhusu

Vp kwa kijana mondi...au yeye dini yake inaruhusu
 
Kuna taarifa zinaendelea mitandaoni kwamba Nicky Minaj anakwenda kupiga show ya kufa mtu huko Saudi Arabia. Sasa kama huko Mecca kwenyewe wanamkubali Nicky Minaj basi naomba huu mjadala uishie hapahapa.

Saudi Arabia sio Mecca. Fahamu kutafautisha Mecca na Saudi.
 
Mkuu why diamond not ali kiba na wengine wote si waislam.

Ndugu yangu kila mtu kesho atabeba mzigo wake, ye mzee yusuphu kaamua amrudie mola wake, suma lee na wengineo wengi! Sasa diamond na wenzao yawezekana muda bado, ama nafsi nzito..
Muziki ni haramu ni haramu tu, hata aimbe nani.

Nimeona umesema nicky minaji, kupiga mziki arabuni, kwan mwarabu ni nani hasa!!? Hii dini sio ya waarabu, waka sio dini ya wasaudia pekee yao, hii ni dini ya allah, hakuanza Muhammad kuwa muislam, toka kina adam, swalehe, nuhu, daudi, lut ibrahim, suleymani, yusufu, mussa, issa bin mariam Muhammad (rehma za allah ziwe juu yao)

Kifupi allah alikuwa akipeleka nabii kwa watu ambao walikuwa wakipotea, ili kuwakumbusha na ndio maana ilikuwa kutoka nabii mmoja mpaka mwingine ilikuwa muda mrefu mpaka ikitokea watu kujisahau, mpaka allah alipoamua Muhammad kuwa wa mwisho, maana kazi ya kuleta dini aliikamilisha, kazi ndogo ya kukumbushana imebaki sisi wenyewe!! Tunaambiwa kumbusha maana ukumbusho utawafaa wenye kuamini.. si kilichobaki ni kukumbushana tu, cz nobody is perfect isipokuwa mwenyewe Allah tu, sasa akikumbushwa mtu akiwa mbishi haya, tayari anakuwa si mwenye kuamini..

Usishangae waarabu kuwa washenzi, waarabu ni washenzi tena saana tu, ndio maana mitume mingi ilikuwa huko jombaa!!
So hao waarabu msiwaone kama wao ndio dini ama kiigizo chema kwetu waislam! Kiigizo chema Muhammad ameshetangulia huko!!
Hakika allah anajua kuliko mimi, nimejaribu kukueleza kwa ufupi tu.

Tujitahidi kusoma kupata manufaa inshallah.
 
Unachojaribu kusema ni kama Tanzania sio Dar es salam .Afahamu kutofautisha Dar na Tanzania.

Saudi ni nchi kubwa lakini Miji ya Mecca na Madinah ndio miji ya kiislamu kisheria. sasa kwenye hiyo miji miwili hakufanyiki mambo ya kipuuzi puuzi kama hayo. Huko kwengine wanaweza wakijafanyia tu.

Sasa ni tafauti kabisa ya Dar na Tanzania. Mana Mecca kuna taratibu zake mbali ambazo Miji mengine ya Saudi hazipo.
 
Mzee alisema haiimbi tena nyimbo za kidunia ..dini hairuhusu

Vp kwa kijana mondi...au yeye dini yake inaruhusu
Mzee yussuf kipindi cha usanii wake hakuwa kuvaa mistaraba. Sasa jiulize je hao watu wawili dini yao ni moja.?
 
Nyimbo za kidunia [emoji3][emoji3][emoji3]sijui nyingine ni za wapi!! Kuzimu, mbinguni,au aaah!!
 
Yupo kwake chanika.....
Kamrudia mungu maana alifanya mabalaa mengi kupitia mziki wake
Mengine hayafai kutamka humu

Ova
 
Kuna taarifa zinaendelea mitandaoni kwamba Nicky Minaj anakwenda kupiga show ya kufa mtu huko Saudi Arabia. Sasa kama huko Mecca kwenyewe wanamkubali Nicky Minaj basi naomba huu mjadala uishie hapahapa.
Hahahahahahahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…