Rachel P
Senior Member
- Dec 26, 2024
- 151
- 617
Kwa jamii nyingi duniani, kiumbe huhesabiwa ya kwamba kipo hai pale kinapozaliwa na kuonyesha dalili za kwanza za uhai. Lakini ipo mijadala dunia nzima kuhusiana na uhai wa mimba.
Kwamba mimba ihesabiwe kama kiumbe hai au isubiriwe hadi uzazi ndipo ipewe haki ya uhai.
Lakini wote wanaojadiliana hapo wanasahau siri kwamba mimba hii ilikuwa hai hata kabla ya kutungwa.
Ipo hivi,
Wakati inapotungwa mimba manii hubeba viumbe hadi zaidi ya milioni 10 ambavyo hutarajiwa kimoja au viwili kwa hali ya kawaida au zaidi ya vitatu katika hali isiyo ya kawaida KUCHAGUA kuwa hai katika tarehe fulani miezi 9 baadae.
Yaani kwa kila binadamu unayemuona, tambua kwamba aliibuka mshindi katika shindano na wenzie zaidi ya milioni 10 na akachagua kuzaliwa katika tarehe fulani miezi 9 baadae.
Hii inathibitisha kwamba binadamu huyu alikuwa hai kabla ya kutungwa kwa mimba yake, na ALICHAGUA kuwa wa kuzaliwa katika tarehe hiyo atakayoamua yeye kutoka katika tumbo la mama yake miezi 9 (au 10 au 8 au 7) mbele.
Uchaguzi wa HIYARI
Kwamba mimba ihesabiwe kama kiumbe hai au isubiriwe hadi uzazi ndipo ipewe haki ya uhai.
Lakini wote wanaojadiliana hapo wanasahau siri kwamba mimba hii ilikuwa hai hata kabla ya kutungwa.
Ipo hivi,
Wakati inapotungwa mimba manii hubeba viumbe hadi zaidi ya milioni 10 ambavyo hutarajiwa kimoja au viwili kwa hali ya kawaida au zaidi ya vitatu katika hali isiyo ya kawaida KUCHAGUA kuwa hai katika tarehe fulani miezi 9 baadae.
Yaani kwa kila binadamu unayemuona, tambua kwamba aliibuka mshindi katika shindano na wenzie zaidi ya milioni 10 na akachagua kuzaliwa katika tarehe fulani miezi 9 baadae.
Hii inathibitisha kwamba binadamu huyu alikuwa hai kabla ya kutungwa kwa mimba yake, na ALICHAGUA kuwa wa kuzaliwa katika tarehe hiyo atakayoamua yeye kutoka katika tumbo la mama yake miezi 9 (au 10 au 8 au 7) mbele.
Uchaguzi wa HIYARI