Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo host au yai kama unavyoita lazima awe hai piaKile kilicho hai hutafuta host yaani yai. NYUMBA. MAKAZI. Enviroment.
kisha huanzisha uhai hapo kwa MAKUSUDIO YAKE!
So vile ambavyo havina kiwiliwili na mkia au haviwezi kuongelea havina sifa za kuwa hai?HAPANA.
Mbegu ina kichwa kiwiliwili na mkia na ina uwezo wa kuogelea kwenye majiuke kulitafuta yai.
How amazing!
How ? Hii ni spiritual thing au scientific factsKisha huchagua wazazi (host) na jinsia
Hapana. Havipo wazi kwani umechanganya Biological facts na Nadharia zilizokuwepo zamani (Darwinism) na Unavyodhania wewe. Hapo lazima msomaji wako atashindwa kukuelewa unaleta hoja gani. Umechanganya aina Tatu (3) za mtizamo kwenye mada moja. Hebu rudia kuisoma vizuri mada yako halafu uone kama ina Logic. (Samahani lakini).Rudia tena taratibu. Vipo wazi
Kitu hadi kiitwe kiumbe lazima kuwe na muunganiko wa mbegu ya kiume na yai la kike.Kile kilichohai husababisha kilichohai kingine
Lakini bado sio kiumbe.HAPANA.
Mbegu ina kichwa kiwiliwili na mkia na ina uwezo wa kuogelea kwenye majiuke kulitafuta yai.
Kabla ya muunganiko wa mbegu ya kiume na yai la kike, Hakuna kiumbe.How amazing!
Sawa vipo hai.Kati ya mbegu na yai kimoja kipo hai tayari na kimeshapata umbo na KIMEFANYA MAAMUZI kabla ya kukubali kutungwa
Ni kweli kabisa, lakini vyote ni haiKitu hadi kiitwe kiumbe lazima kuwe na muunganiko wa mbegu ya kiume na yai la kike.
Mbegu ya kiume peke yake, sio kiumbe.
Yai la kike peke yake, sio kiumbe.
Una elewa hilo?
Ni kweli kabisa, lakini vyote ni hai
sijaelewa inakuaje sperms " kiumbe " according to you zinachagua host, zina interfere with your conscious na kufanya uchague nani wa kushiriki naye au miongoni mwa unakutana nao ndo zinachagua, vipi ikitokea mbegu za pande mbili zimekutana na "kiumbe" hakijampenda host inatokea nini miscarriage auScience and spiritism are neither differing nor two things.
Science finds practical answers to spiritual questions.
Couples!!
Kwani mkuu hiyo mbegu inayopata ushindi wa riadha kwenye 'womb', huwaga siyo hai mpaka ipate kwanza ushindi wa kutungiwa mimba?Kwa jamii nyingi duniani, kiumbe huhesabiwa ya kwamba kipo hai pale kinapozaliwa na kuonyesha dalili za kwanza za uhai. Lakini ipo mijadala dunia nzima kuhusiana na uhai wa mimba.
Kwamba mimba ihesabiwe kama kiumbe hai au isubiriwe hadi uzazi ndipo ipewe haki ya uhai.
Lakini wote wanaojadiliana hapo wanasahau siri kwamba mimba hii ilikuwa hai hata kabla ya kutungwa.
Ipo hivi,
Wakati inapotungwa mimba manii hubeba viumbe hadi zaidi ya milioni 10 ambavyo hutarajiwa kimoja au viwili kwa hali ya kawaida au zaidi ya vitatu katika hali isiyo ya kawaida KUCHAGUA kuwa hai katika tarehe fulani miezi 9 baadae.
Yaani kwa kila binadamu unayemuona, tambua kwamba aliibuka mshindi katika shindano na wenzie zaidi ya milioni 10 na akachagua kuzaliwa katika tarehe fulani miezi 9 baadae.
Hii inathibitisha kwamba binadamu huyu alikuwa hai kabla ya kutungwa kwa mimba yake, na ALICHAGUA kuwa wa kuzaliwa katika tarehe hiyo atakayoamua yeye kutoka katika tumbo la mama yake miezi 9 (au 10 au 8 au 7) mbele.
Uchaguzi wa HIYARI
Nanukuu: "Kule tumboni/kwenye manii kweli uhai ulikuwepo lakini Bado ufanano au taswira yako ilikuwa imejificha".Sijaona shida Kwa watu kuitambua siku ya kuzaliwa kwani ndio siku ambayo watu walitambua uwepo wako.
Kule tumboni/kwenye manii kweli uhai ulikuwepo lakini Bado ufanano au taswira yako ilikuwa imejificha.
Na pia uhakika kuwa kweli utavuka mipaka ya tumbo na kuja nje huku unakuwa nusunusu
Mkuu hoja yako ipo sahihi,ila nilijibu vile Kwa hoja ya mtoa mada aliyejaribu kuhoji juu ya ipi siku sahihi ya kuikumbuka kati ya kuzaliwa au uhai ulipoanzia.Nanukuu: "Kule tumboni/kwenye manii kweli uhai ulikuwepo lakini Bado ufanano au taswira yako ilikuwa imejificha".
Hii dhana 👆 👆 bado haijapata Hitimisho kisayansi kwani manii(Sperms) ina 23 chromosomes na yai lina 23 chromosomes ili kukamilisha binadamu ambaye huwa ana 46 chromosomes. Kwa mantiki hiyo, ina maana kabla manii na yai havijakutana (Fertilization) huyo sio mtu ila ndo malighafi ambayo kwayo mtu hufanyika/huumbika.
Lakini bado hoja inakuja kwamba, kwa wanasayansi na wasomi nguli, bado upo utata kwenye hoja hiyo kwa sababu sperms huonekna kutembea na yai kujisogeza na kujilengesha kwenye mirija ya uzazi(Fallopian tubes) kitu ambacho ni Tabia ya viumbe hai kwamba je, UHAI unaanza saa ngapi, halafu kwa nini sperms ziwe mamilioni ilhali inatakiwa moja tuu na mwanamke hupoteza yai moja kila mwezi kana kwamba sio kitu cha maana kivile. (It is a controversial issue)