PeeWee
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 410
- 1,118
Kwani hiyo simu imeundwa kwa materials mbalimbali zilizoko kwenye universe. Ni kama ulivyoongelea suala la mimba tu. Mimba inakuwa affected positively or negatively na mazingira.HADI SIMU YANGU??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hiyo simu imeundwa kwa materials mbalimbali zilizoko kwenye universe. Ni kama ulivyoongelea suala la mimba tu. Mimba inakuwa affected positively or negatively na mazingira.HADI SIMU YANGU??
Mama anaweza kuamua hasa km anazaa kwa operation. Ile tar ya kujifungua anaweza kuisogeza mbele siku kadhaa au wiki
Je anaweza kuamua baada ya wiki mbili za mimba kufanya hiyo operation?Mama anaweza kuamua hasa km anazaa kwa operation. Ile tar ya kujifungua anaweza kuisogeza mbele siku kadhaa au wiki
ExactlyMama wala madaktari hawawezi kuamua kuforce tarehe ya operation kama mtoto bado hajakuwa na kufikia maamuzi yake ya kutoka. UKIMLAZIMISHA KUMTOA KWA OPERATION KABLA YA MUDA MTOTO HUWA ANAJIUA. Ni maamuzi ya mtoto kukubali kutoka kwa operation
Kwani hiyo simu imeundwa kwa materials mbalimbali zilizoko kwenye universe. Ni kama ulivyoongelea suala la mimba tu. Mimba inakuwa affected positively or negatively na mazingira.
Eb google au uliza manake nina mtu namfahamu amematch tar za watoto wake kuzaliwa kwa kupitiliza sikuMama wala madaktari hawawezi kuamua kuforce tarehe ya operation kama mtoto bado hajakuwa na kufikia maamuzi yake ya kutoka. UKIMLAZIMISHA KUMTOA KWA OPERATION KABLA YA MUDA MTOTO HUWA ANAJIUA. Ni maamuzi ya mtoto kukubali kutoka kwa operation
Kwa ufahamu wangu unaposema uhai unamaanisha nguvu au energy. Na nafahamu kuwa kila kitu ni nishati au nguvu. Je hayo madini yanayounda simu si energy?Cobalt nickel na plastic zimeunda simu.
LAKINI MIMBA IMEUNDWA IKIWA NA NGUVU YA UHAI NDANI YAKE. Uhai unaojitambua
Eb google au uliza manake nina mtu namfahamu amematch tar za watoto wake kuzaliwa kwa kupitiliza siku
Exactly kwenye universe kila kitu ni unique hakuna kinachofanana na kingine 100%Watoto wake wameamua kumatch tarehe zao za kuzaliwa kwa kukubali kuzaliwa pale host wao alipotumiwa excutive command ya kuwatoa ndani ya host. Hilo linawezekana kama tu hawa viumbe wanataka kuwa na matched purpose. Lakini kwa kuwa miaka yao ya kuzaliwa ni tofauti. Basi hawajapata matched purpose hata kwa 20%
GROWTH. Ukuaji. KUKUA.Kwa ufahamu wangu unaposema uhai unamaanisha nguvu au energy. Na nafahamu kuwa kila kitu ni nishati au nguvu. Je hayo madini yanayounda simu si energy?
Sometimes kwa mtazamo huu wa kila kitu ni energy basi nimekuwa siamini ile dhana ya kwenye biology ya non living and living things
Hivi kitu kikikuwa katika maana ya retardation inakuwa ni uhai au si uhai?GROWTH. Ukuaji. KUKUA.
ndilo lengo mama la uhai.
KAMA SIMU INAWEZA KUKUA ...
Kuanza kama nukta ndogo then kukua na kufa ndivyo muhimu hapa
Vipo hai kama mbegu na yai.Kati ya mbegu na yai kimoja kipo hai tayari na kimeshapata umbo na KIMEFANYA MAAMUZI kabla ya kukubali kutungwa
...Mkuu wa itifaki Rachel p, Hongera kwa uzi mzuri lakini umeandika kwa knowledge yako sio katika dhana ya uhalisia ya uumbaji.
Hakuna mtu aliyechagua kuja duniani, Wala kuchagua tarehe au jinsia, na shahawa sio mtu.
Mungu pekee ndo anayepanga Nani azaliwe kesho , mwezi ujao, mwakani, au baada ya miaka 10.
una mimba?Kwa sababu mimba ni KIUMBE HAI huwa inakuwa na maamuzi ya kuanza na pia kumaliza. Yaani yule mtoto ndio huwa anasema nataka kuzaliwa NIMESHAKUWA. Na sio maamuzi ya mama mjamzito wala baba mtoto
Kile kilichohai husababisha kilichohai kingineVipo hai kama mbegu na yai.
Sio kwamba vipo hai kama kiumbe tayari.
Hivi kitu kikikuwa katika maana ya retardation inakuwa ni uhai au si uhai?
Chukulia hiyo hiyo simu, mfano inatumika kwa miaka kumi tu then usitumike tena kwa maana ya expiring time. Je hiyo ni growth?