matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
1: Alichoamua kukifanya angeweza kushambulia tu maeneo ya kimkakati kuonyesha hakubaliani na Ukraine kujiunga na NATO bila kuingiza jeshi lote. Amefanya makusudi, Russia ipigwe vikwazo uchumi udolole nchi ikoswe kutawalika Russia ivunjike vipande na US awe Superpower Wa Muda wote ili kutimiza ajenda vificho za waovu Wa dunia hii.
2: Zamani nilijua hawa jamaa ni maadui hadi vita vya Syria. Wakati marekani inataka kushambulia eneo ambalo nilikuwa na makomando na majeshi Wa kirusi Syria, kwa mujibu Wa mitandao ya kijajusi Urusi walitaarifiwa kwa channel maalumu, kisha wakahamisha majeshi ili marekani ipige inapotaka. Hawa maadui gani ambao wanajeshi wake wanapeana habari za kutoathiriana?
Hivyo kwa akili na uchambuzi wangu Wa darasa la Saba la mkoloni , tujikite kwenye matoleo ya hii vita. Kuna kitu kikubwa kinatengenezwa ambacho kitabadili gia ya safari ya sayari dunia.
Yangu ni hayo.
Ila nawapongeza maana vita hivi vimekuwa sababu ya dunia kupewa likizo isiyo na matibabu ya korona
2: Zamani nilijua hawa jamaa ni maadui hadi vita vya Syria. Wakati marekani inataka kushambulia eneo ambalo nilikuwa na makomando na majeshi Wa kirusi Syria, kwa mujibu Wa mitandao ya kijajusi Urusi walitaarifiwa kwa channel maalumu, kisha wakahamisha majeshi ili marekani ipige inapotaka. Hawa maadui gani ambao wanajeshi wake wanapeana habari za kutoathiriana?
Hivyo kwa akili na uchambuzi wangu Wa darasa la Saba la mkoloni , tujikite kwenye matoleo ya hii vita. Kuna kitu kikubwa kinatengenezwa ambacho kitabadili gia ya safari ya sayari dunia.
Yangu ni hayo.
Ila nawapongeza maana vita hivi vimekuwa sababu ya dunia kupewa likizo isiyo na matibabu ya korona