Kwanini nabii amejipaka UNGA USONI?

Nachelea kusema... Kama huu ni unabii au USANGOMA tu?!:focus:

Halafu ka anaonyesha uzoefu wa rigwaride vile; kazi kweli kweli!!
 
Nabii hata kwa rigwaride wamoo kwa tunaemjua kwa undani we acha tuu, wakina wema wanasingiziwa na huo unga aliopaka nadhani alikua anatoka mashineni kusaga muhogo au mahindi
 
Nachelea kusema... Kama huu ni unabii au USANGOMA tu?!:focus:

Halafu ka anaonyesha uzoefu wa rigwaride vile; kazi kweli kweli!!

usangoma mwanangu,ukiwauliza hawa shindwi kujitetea eti mbona Yesu alimponya mtu upofu kwa tope alilochanganya na mate...!!!fix tupu hakuna nabii wanamna hii,naukitaka kujua njia za shetani wanaoshawishika wengi ni wanawake,kama ilivyo kuwa EDENI
 
mwenzio kapaka faundesheni wewe unasema unga........
Preta umenichekesha...faundesheni kama ni kwa mtindo huu basi hatari...Labda hakuwa na kioo cha kujitazama kabla hajatoka kwa nyumba. Ukitaka uzuri sharti uzurikie. Mtumishi wa Mungu haipendezi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…