Kwanini nabii amejipaka UNGA USONI?

Kwanini nabii amejipaka UNGA USONI?

Hapa kondoo wana hatari ya kutumbukia shimoni.
 
New World Order. Mpangilio wake unahtaji mlolongo mrefu sana. Tuweni wavumilivu na wapekuzi kwa kila jambo! Huyo alieangukia kanisani kwake ilikuwaje?
 
Nabii florah Peter is no more. Amefariki majuzi hapo salasala. Mipango ya mazishi inaendelea.
 
935750_158212031026014_985928191_n.jpg


Nabii Florah akiwa na Dotnata.
Hivi mahubiri hayanogi hadi mjipake maunga usoni?
Mmh
 
Back
Top Bottom