Kwanini nabii amejipaka UNGA USONI?

Kwanini nabii amejipaka UNGA USONI?

Naona kila mtu anatafuta style inayomfanya awe tofauti nainayomtambulisha kwa urahisi, uenda yeye amechagua hii.
 
Ni mbantu aliyejiingiza katika maigizo ya kumtumikia Mungu ili akusanye sadaka.
Kila fani inageuka kuwa sanaa.

Mungu anafanyiwa maigizo.............ngoja na Mungu aigize sasa tuone itakuwaje!!!!
 
Mwacheni Mungu aitwe Mungu.. :rapture:
 
Ukyala Ipele Ingamu ijingi.. jo AMUKUNYAGHA
 
Nilijua Michael Jackson, mtu gani huyu yupo kama Amoxicillin...
 
C ndio wanaitaga upako au upako ni nini jamani ...qwiqwiqwiqwiiii...lol.
 
Back
Top Bottom