Las Mas Bobos
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 991
- 326
ni mzungu?
mwenzio kapaka faundesheni wewe unasema unga........
mwenzio kapaka faundesheni wewe unasema unga........
Huduma yake inaitwaje?nataka nijiungemo naamini sitatokapo tupu!! Naweza patamo ki malaika cha kuni pepea kwa bedroom, ni heri na dokii angejiita nabii kuliko huyu.
Wagalatia mna utani mbaya na Yesu, daaah !
mwenzio kapaka faundesheni wewe unasema unga........
Hili kanisa litakua na wanaume wengi kuliko wanawake.
Nabii Florah akiwa na Dotnata.
Hivi mahubiri hayanogi hadi mjipake maunga usoni?