Kwanini nahisi watu wote wa JamiiForums wapo Dar?

Ila asilimia kubwa watakua wamewahi kuishi dar,
Su kama ni wa mikoani kabusa elimu ipo kichwani
 
Mbabane Swaziland kwa King Mswati;kwetu kitaya Ntwara
 
Mi wa kitongoji cha mpapang'ombe, ingirito. Tunalima mpunga wa milimani na miogo. Mtandao napata nikiwa mlimani au inabidi nipande juu ya mti. Maisha ya huku poa sana , karibuni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…