GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Zaid ya yoote, karibia wooote ni vilaza. Elimu zao ni div 4 na div 0. Kama hutaki mtaje walau mmoja tu ambaye alipata div ONE au TWO ktk masomo yake ya O-level na A-level1. Wengi wao wako katika 'payrol' ya Yanga
2. Wengi wao ni Wanafiki sana
3. Wengi wao wana Chuki na Simba
4. Wengi wao wana Wivu na Mafanikio ya Simba
5. Wengi wao wana Upendeleo katika Uchambuzi
6. Wengi wao wanatumika Kuichafua Simba
7. Wengi wao wana Husuda binafsi na Mwekezaji Mo Dewji, CEO Barbara na Msemaji Manara
Ni imani yangu kubwa sasa kwa kuitwa Kwenu 'Takataka' nyie baadhi ya Wachambuzi wa Mpira na Watangazaji wa Michezo nchini Tanzania mtabadilika.
Haji Manara kawapeni Dozi Mujarab tu.
Wangeizungumzia Simba vizuri angewasifia1. Wengi wao wako katika 'payrol' ya Yanga.
2. Wengi wao ni Wanafiki sana.
3. Wengi wao wana Chuki na Simba.
4. Wengi wao wana Wivu na Mafanikio ya Simba.
5. Wengi wao wana Upendeleo katika Uchambuzi.
6. Wengi wao wanatumika Kuichafua Simba.
7. Wengi wao wana Husuda binafsi na Mwekezaji Mo Dewji, CEO Barbara na Msemaji Manara.
Ni imani yangu kubwa sasa kwa kuitwa Kwenu 'Takataka' nyie baadhi ya Wachambuzi wa Mpira na Watangazaji wa Michezo nchini Tanzania mtabadilika.
Haji Manara kawapeni Dozi Mujarab tu.