DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Kwani hii Ishu haikuishaga tu mtoa mada..Ina maana dokezo la kwanza lile haukupata muafaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu vitajeSiyo kitu tu, Bali kuna vitu vingi sana haviko sawa kuhusiana na mkasa huu.
Acha uongo, unaendesha gari huku ukiwa umelewa, unagonga mtu na kumwuua halafu unaleta ushenzi eti ni kuua bila kukusudia, angekua dada yako ungesema haya, tuna cold case's nyingi mno nchi hii including Mr.Saanane na wana JF wamesahau na kumove onKaombe mahakama itoe kibali cha kufukua mwili wa marehemu ili ufanyiwe uchunguzi upya
Alafu kama ni ajali mbona hawakua na sababu ya kuficha maana ajali iliyosababisha kifo siyo kuua kwa kukusudia ni manslaughter
Nami ningefanya hivi hiviMngegoma kuuzika mwili mpaka kieleweke
Rejea Comment yangu #2 hapa huu.Hebu vitaje
Mpelekee mwalimu wako huu upuuzi uliouandika ili ajione ni jinsi gani alipoteza muda kumfundisha mpumbavuAcha uongo, unaendesha gari huku ukiwa umelewa, unagonga mtu na kumwuua halafu unaleta ushenzi eti ni kuua bila kukusudia,angekua dada yako ungesema haya, tuna cold case's nyingi mno nchi hii including Mr.Saanane na w
Eiza hujawahi kufiwa na mtu wa karibu au hujasoma kisa chote kilichoandikwaHiki nini tena huko Lindi???!!!?????
Mleta mada weka wazi habari yote kama ilivyo ili umma wote ujue nini hasa kimetokea, na ili upate msaada au ushauri uni alikosoma mwanao walikuwepo kwenye msafara?Je, Walitoa neno gani kama salamu za rambirambi??
I'm Critical Thinker, siyo mtu wa kuwa driven kama gari bovuEiza hujawahi kufiwa na mtu wa karibu au hujasoma kisa chote kilichoandikwa
Sawa boss. Hongera sanaI'm Critical Thinker, siyo mtu wa kuwa driven kama gari bovu
Absolutely!
Kama ni kweli haya unayoongea basi hicho kifo ni zaidi ya ajali kuna mengi nyuma ya pazia.Kaombe mahakama itoe kibali cha kufukua mwili wa marehemu ili ufanyiwe uchunguzi upya
Alafu kama ni ajali mbona hawakua na sababu ya kuficha maana ajali iliyosababisha kifo siyo kuua kwa kukusudia ni manslaughter
Ndo point ilipo labda ipo sababu ngumu zaidi ya hapo ila kwa ajali hawakua na sababu ya kufichaKm kweli haya unayoongea basi hicho kifo ni zaidi ya ajali kuna mengi nyuma ya pazia.
anyway
Uko sawa kwa maelezo yake huyu kuna linalofichwa, ajali kama ajali haifichwi hivi, kuna jambo na hapo anapouliza swali binti alitokaje shule kwa ruhusa ya nani hapo ndo penyewe, apeleleze kwa wanafunzi wenzie lazima wapo wanaoijua story,Mpelekee mwalimu wako huu upuuzi uliouandika ili ajione ni jinsi gani alipoteza muda kumfundisha mpumbavu