Kwanini nchi jirani wanakabiliwa na wingi wa Yesu feki?

Kwanini nchi jirani wanakabiliwa na wingi wa Yesu feki?

Ina maana Yesu hajui kabisa kuchagua? Hakuona pisi kali hadi ambebe huyu mazeli?
uyo mama kusema tu yeye ni mke wa Yesu,tayari ni wazushi waongo nyang'au wakubwa hao.

alafu wagalatia wapole aisee ingekua wavaa kobazi huyo mzee keshakula mikwaju ya kutosha,wavaa kobazi awatakagi konakona.leta ushahidi wa aya za Allah,leta hadithi za Mudy kama huna umeisha.
 
uyo mama kusema tu yeye ni mke wa Yesu,tayari ni wazushi waongo nyang'au wakubwa hao.

alafu wagalatia wapole aisee ingekua wavaa kobazi huyo mzee keshakula mikwaju ya kutosha,wavaa kobazi awatakagi konakona.leta ushahidi wa aya za Allah,leta hadithi za Mudy kama huna umeisha.
Mikwaju dot com inakuhusu
 
Ndio athari za mwafrika kujiingiza kichwa kichwa kwenye hizi dini feki za kuja kwa meli. Hata upande wa pili pia, kwa wale wafuga ndevu, huwa hakuna afueni wala nafasi ya 'spirituality' ya kweli ya mtu mweusi.

Sijui ni nani huyo ambaye aliwahadaa waafrika kwamba ukiabudu Mungu ni lazima awe Mungu wa mzungu au mwarabu mara sijui myahudi. Ndio maana huwa nawaheshimu sana wahindi, ikifika ni kwenye suala la dini. Dini za mababu zetu zilitufaa na zilitutosha sana enzi hizo. Ila kwa upumbavu wetu siku hizi tunajivunia sana kuwa watumwa.

Thaaaaiii thathaiya Ngai thaaaaiii!
 
Hakika, wapumbavu hawawezi kuisha kwenye hii nchi ya ukimwengu wa tatu



 
Ndio athari za mwafrika kujiingiza kichwa kichwa kwenye hizi dini feki za kuja kwa meli. Hata upande wa pili pia, kwa wale wafuga ndevu, huwa hakuna afueni wala nafasi ya 'spirituality' ya kweli ya mtu mweusi.

Sijui ni nani huyo ambaye aliwahadaa waafrika kwamba ukiabudu Mungu ni lazima awe Mungu wa mzungu au mwarabu mara sijui myahudi. Ndio maana huwa nawaheshimu sana wahindi, ikifika ni kwenye suala la dini. Dini za mababu zetu zilitufaa na zilitutosha sana enzi hizo. Ila kwa upumbavu wetu siku hizi tunajivunia sana kuwa watumwa.
Thaaaaiii thathaiya Ngai thaaaaiii!
Na ndio maana nchi zetu haziendelei kwakuwa tumeacha kuata mila, tamaduni na imani zetu za awali na tumekubali kuletewa imani na tamaduni za wazungu na waarabu za uongo ambazo hata wao wenyewe hawazifuati.

Halafu utakuta jitu limanyema la misituni huko Nyantorotoro linashupaza shingo kutukanana kisa dini za uongo za kuletewa na washenzi.
 
Watakuja wengi manabii wa uongo na ukishaona dalili tambua hizo ni nyakati za mwisho...

Yesu kweli anafanya interview na online media’s 😂😂😂😂 this is to much hahahaaa..Pia ana bibi na bibi amesema yesu anaitwa Benjamin hahahaaa😂😂😂😂
 
Kwani yule yesu wa kizungu ambaye hamjawahi hata kumuona mliyeletewa na wazungu kawazidi nini hawa yesu weusi jirani zetu?
 
Back
Top Bottom