Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
- #21
Alikosea, alisema Yesu wa Uyahudini, hakusema Yesu wa KenyaKumbe yule mzee wa Bunge aliyesema yesu alioa hakukosea🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikosea, alisema Yesu wa Uyahudini, hakusema Yesu wa KenyaKumbe yule mzee wa Bunge aliyesema yesu alioa hakukosea🤣
Ina maana Yesu hajui kabisa kuchagua? Hakuona pisi kali hadi ambebe huyu mazeli?Mke wa Yesu?,huyo mama kadanja akili,Yesu akuwa na mke.
Kuna tofauti ndogo sana kati ya watani zangu wa Kishimundu na majirani zetu Kenya! Sijui ni kwavile wako jirani sana?[emoji1544][emoji1550]Nchi hii jirani yetu imekuwa ikikumbwa na wimbi la ongezeko la ma Yesu feki kila kukicha.
View attachment 2496916
Kuna tofauti ndogo sana kati ya watani zangu wa Kishimundu na majirani zetu Kenya! Sijui ni kwavile wako jirani sana?[emoji1544][emoji1550]Nchi hii jirani yetu imekuwa ikikumbwa na wimbi la ongezeko la ma Yesu feki kila kukicha.
View attachment 2496916
uyo mama kusema tu yeye ni mke wa Yesu,tayari ni wazushi waongo nyang'au wakubwa hao.Ina maana Yesu hajui kabisa kuchagua? Hakuona pisi kali hadi ambebe huyu mazeli?
Mikwaju dot com inakuhusuuyo mama kusema tu yeye ni mke wa Yesu,tayari ni wazushi waongo nyang'au wakubwa hao.
alafu wagalatia wapole aisee ingekua wavaa kobazi huyo mzee keshakula mikwaju ya kutosha,wavaa kobazi awatakagi konakona.leta ushahidi wa aya za Allah,leta hadithi za Mudy kama huna umeisha.
Na ndio maana nchi zetu haziendelei kwakuwa tumeacha kuata mila, tamaduni na imani zetu za awali na tumekubali kuletewa imani na tamaduni za wazungu na waarabu za uongo ambazo hata wao wenyewe hawazifuati.Ndio athari za mwafrika kujiingiza kichwa kichwa kwenye hizi dini feki za kuja kwa meli. Hata upande wa pili pia, kwa wale wafuga ndevu, huwa hakuna afueni wala nafasi ya 'spirituality' ya kweli ya mtu mweusi.
Sijui ni nani huyo ambaye aliwahadaa waafrika kwamba ukiabudu Mungu ni lazima awe Mungu wa mzungu au mwarabu mara sijui myahudi. Ndio maana huwa nawaheshimu sana wahindi, ikifika ni kwenye suala la dini. Dini za mababu zetu zilitufaa na zilitutosha sana enzi hizo. Ila kwa upumbavu wetu siku hizi tunajivunia sana kuwa watumwa.
Thaaaaiii thathaiya Ngai thaaaaiii!
Mayesu wengibsana aiseeBuji buji, yesu mwingine huyo🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2497259
Hebu wataje tuwajue.Sio nchi jirani tuu mbona hapo bongo mnao wengi tuu
That's for you to do, sitaki maswaliHebu wataje tuwajue.