Propaganda tu tujitegemee kwa sera zipi hali tulikuwa tunaenda kucollaps Mungu asingeingilia kati.socialism imeharibu sana watu akili, si chama chenu ndo kinakoleza moto wa misaada, magufuli alivoamua tuanze kujitegemea mkamuona diktetea kwa kifupi nyie mnatakiwa wote mumfuate mbowe ukonga ni janga kwa hii dunia
Kama nchi zinashindwa ama hazitaki kulipa madeni ya ndani wananchi wake watainukaje kiuchumiNiliuliza hili swali kupata maoni, sio hapa tu ni kwenye majukwaa mbalimbali, Asante kwa wote waliotoa maoni yao.
Lakini kwa ufupi misaada na Mikopo kihistoria vilianza miaka ya 1945 na ilikuwa baada ya vita kuu ya pili ya dunia kwa malengo mawili;
i) Kujenga miundombinu iliyoharibiwa wakati wa vita na jukumu hili ilipewa Benki ya Dunia.
(ii) Na lengo la pili lilikuwa ni kuharakisha maendeleo ikiwemo biashara na kudhibiti masuala yote yahusuyo Fedha Duniani, jukumu hili likawa ni la Shirika la Fedha Duniani (IMF) na Shirika la Biashara Duniani.
Lakini kwa pamoja mashirika haya waliyaweka pia kwaajili ya kudhibiti ama kuzuia kutokea tena kwa mdororo wa uchumi (Great Economic Depression) uliowahi kutokea miaka ya 1930's (Hawa watu wana akili [emoji4], kumbuka Kati ya wadau 700 waliokuwa wanajadili haya, hakuna mdau hata mmoja aliyetoka Afrika kwa ujumla).
Mwaka 1946 na 1947 nchi za Ulaya zilichukua mikopo na misaada kutoka kwenye mashirika haya. Nchi kama Ufaransa, Denmark, Netherlands na Luxembourg waliweza kufanikisha kuunda upya nchi zao na kufuta uharibifu wote uliosababishwa na vita, pamoja na kujenga uchumi wao. Kwa kiasi kikubwa taasisi hizi za Kimataifa zilimudu kudhibiti na kuchochea Uchumi wa Dunia.
Sasa ni nini kilizikuta nchi za Afrika ikiwemo Tanzania ambapo nchi hizi zinaonekana kuwa na ugonjwa sugu wa Umaskini usiosikia dawa licha ya kupewa mikopo na misaada ya matrilioni ya Fedha? Tutaona Part (ii)
View attachment 1929403
True kabisa.Nchi za Ulaya kabla ya vita zilikuwa tayari zina taasisi imara na watu wenye uzoefu wa kuendesha nchi. Kwa hiyo walikuwa na uwezo wa kujenga upya nchi zao baada ya vita kuziharibu. Watanzania na Waafrika wengine hatuna uzoefu wa kuendesha nchi, tumezoea kuendesha makabila na tribal kingdoms. Ni ngumu kumchukua mtu ambaye labda alikuwa ni chifu wa kabila moja au mtoto wa chifu wa kabila moja kama Nyerere halafu utegemee ataweza kuendesha nchi ya makabila zaidi ya 100 kama nchi za Ulaya. Kuziendesha nchi ambazo zilikuwa zinaendeshwa kikabila ni kazi ngumu hata ukipewa misaada ya mamilioni.
The problems is how aid used.Aid never been a problemPia Africa is still poor because of aid
Haya ni mawazo ya kikomunist asili yake ni miaka ya 70 toka chuo cha patrick lumumba Urusi yaliandaliwa na warusi enzi za vita baridi lengo ni kujenga chuki kwa kambi ya magharibi iliyokuwa upande wa wazungu,hizi ideology ziliingizwa mashuleni kuanzia miaka ya 70.Kama huna akili ni wewe tu.
Soma historia za maendeleo ya ulaya, Afrika na mambo yaliyojitokeza kabla ya ukoloni, wakati wa ukoloni na baada ya ukoloni. Jifunze uhusiano uliopo kati ya watawala wetu na sisi watawaliwa wao.
Mzungu halali, anafikiria namna ya kuinyonya Afrika. Anatumia hela nyingi kutengeneza mifumo ya kiunyonyaji ili tu awe mbele ya Afrika all the time.
Tatizo lilianzia pale teknolojia ya Afrika kupigwa marufuku na kuonekana ya kishenzi. Tukapokea dini zao zikitoa misaada bure ikatulemaza.
Hali hii hadi leo bado ipo. Afrika ikigundua kitu, wazungu hutafuta namna ya kuifanya ionekane haina ubora. Wakiona ina manufaa kwao, mgunduzi watamchukua aende kwao. Akiwa mbishi wanamwua.
Wanataka Afrika liendelee kuwa soko na siyo chanzo cha ugunduzi wa maendeleo kwa namna yoyote.
Kifupi matatizo ya nchi za Afrika ni planned na weupe. Halafu wewe unasema hatuna akili. Kama huna akili ni wewe.
Propaganda tu tujitegemee kwa sera zipi hali tulikuwa tunaenda kucollaps Mungu asingeingilia kati.
Huwezi jitegemea kama unaua sekta binafsi,yaani unaua export then tujitegemee.
80% mifukoni mwa watawala, 20% tunajengea madarasa na madaraja.Niliuliza hili swali kupata maoni, sio hapa tu ni kwenye majukwaa mbalimbali, Asante kwa wote waliotoa maoni yao.
Lakini kwa ufupi misaada na Mikopo kihistoria vilianza miaka ya 1945 na ilikuwa baada ya vita kuu ya pili ya dunia kwa malengo mawili;
i) Kujenga miundombinu iliyoharibiwa wakati wa vita na jukumu hili ilipewa Benki ya Dunia.
(ii) Na lengo la pili lilikuwa ni kuharakisha maendeleo ikiwemo biashara na kudhibiti masuala yote yahusuyo Fedha Duniani, jukumu hili likawa ni la Shirika la Fedha Duniani (IMF) na Shirika la Biashara Duniani.
Lakini kwa pamoja mashirika haya waliyaweka pia kwaajili ya kudhibiti ama kuzuia kutokea tena kwa mdororo wa uchumi (Great Economic Depression) uliowahi kutokea miaka ya 1930's (Hawa watu wana akili [emoji4], kumbuka Kati ya wadau 700 waliokuwa wanajadili haya, hakuna mdau hata mmoja aliyetoka Afrika kwa ujumla).
Mwaka 1946 na 1947 nchi za Ulaya zilichukua mikopo na misaada kutoka kwenye mashirika haya. Nchi kama Ufaransa, Denmark, Netherlands na Luxembourg waliweza kufanikisha kuunda upya nchi zao na kufuta uharibifu wote uliosababishwa na vita, pamoja na kujenga uchumi wao. Kwa kiasi kikubwa taasisi hizi za Kimataifa zilimudu kudhibiti na kuchochea Uchumi wa Dunia.
Sasa ni nini kilizikuta nchi za Afrika ikiwemo Tanzania ambapo nchi hizi zinaonekana kuwa na ugonjwa sugu wa Umaskini usiosikia dawa licha ya kupewa mikopo na misaada ya matrilioni ya Fedha? Tutaona Part (ii)
View attachment 1929403
Hahhaah wanaaleta sitori na mawaza ya mwaka 47Haya ni mawazo ya kikomunist asili yake ni miaka ya 70 toka chuo cha patrick lumumba Urusi yaliandaliwa na warusi enzi za vita baridi lengo ni kujenga chuki kwa kambi ya magharibi iliyokuwa upande wa wazungu,hizi ideology ziliingizwa mashuleni kuanzia miaka ya 70.
Kipi kilichogundulika Afrika kwa manufaa ya mwafrika Mzungu akakizuia.
Au kipi Mzungu kashindwa kukipata Afrika hadi ampige vita muafrika ndipo akipate hali wao ndo tunawategemea wanunue vitu vyetu.Tusipouza raslimali zetu kwao kwetu ni useless.
Nani anakula madini, dhahabu,nk.
Hatuna adabu na matumizi ya misaada hiyo, pamoja na mapato ya ndani.Niliuliza hili swali kupata maoni, sio hapa tu ni kwenye majukwaa mbalimbali, Asante kwa wote waliotoa maoni yao.
Lakini kwa ufupi misaada na Mikopo kihistoria vilianza miaka ya 1945 na ilikuwa baada ya vita kuu ya pili ya dunia kwa malengo mawili;
i) Kujenga miundombinu iliyoharibiwa wakati wa vita na jukumu hili ilipewa Benki ya Dunia.
(ii) Na lengo la pili lilikuwa ni kuharakisha maendeleo ikiwemo biashara na kudhibiti masuala yote yahusuyo Fedha Duniani, jukumu hili likawa ni la Shirika la Fedha Duniani (IMF) na Shirika la Biashara Duniani.
Lakini kwa pamoja mashirika haya waliyaweka pia kwaajili ya kudhibiti ama kuzuia kutokea tena kwa mdororo wa uchumi (Great Economic Depression) uliowahi kutokea miaka ya 1930's (Hawa watu wana akili [emoji4], kumbuka Kati ya wadau 700 waliokuwa wanajadili haya, hakuna mdau hata mmoja aliyetoka Afrika kwa ujumla).
Mwaka 1946 na 1947 nchi za Ulaya zilichukua mikopo na misaada kutoka kwenye mashirika haya. Nchi kama Ufaransa, Denmark, Netherlands na Luxembourg waliweza kufanikisha kuunda upya nchi zao na kufuta uharibifu wote uliosababishwa na vita, pamoja na kujenga uchumi wao. Kwa kiasi kikubwa taasisi hizi za Kimataifa zilimudu kudhibiti na kuchochea Uchumi wa Dunia.
Sasa ni nini kilizikuta nchi za Afrika ikiwemo Tanzania ambapo nchi hizi zinaonekana kuwa na ugonjwa sugu wa Umaskini usiosikia dawa licha ya kupewa mikopo na misaada ya matrilioni ya Fedha? Tutaona Part (ii)
View attachment 1929403
Mazaoexport zpi izo zmeuliwa mkuu
Kuna kitu nchi za Africa bado hazijafahamu, tunatakiwa kukimbia mikopo na kujikita kusimama bila ya mikopo au misaada. Wanaofaidika na mikopo ni alietoa mkopo.Niliuliza hili swali kupata maoni, sio hapa tu ni kwenye majukwaa mbalimbali, Asante kwa wote waliotoa maoni yao.
Lakini kwa ufupi misaada na Mikopo kihistoria vilianza miaka ya 1945 na ilikuwa baada ya vita kuu ya pili ya dunia kwa malengo mawili;
i) Kujenga miundombinu iliyoharibiwa wakati wa vita na jukumu hili ilipewa Benki ya Dunia.
(ii) Na lengo la pili lilikuwa ni kuharakisha maendeleo ikiwemo biashara na kudhibiti masuala yote yahusuyo Fedha Duniani, jukumu hili likawa ni la Shirika la Fedha Duniani (IMF) na Shirika la Biashara Duniani.
Lakini kwa pamoja mashirika haya waliyaweka pia kwaajili ya kudhibiti ama kuzuia kutokea tena kwa mdororo wa uchumi (Great Economic Depression) uliowahi kutokea miaka ya 1930's (Hawa watu wana akili [emoji4], kumbuka Kati ya wadau 700 waliokuwa wanajadili haya, hakuna mdau hata mmoja aliyetoka Afrika kwa ujumla).
Mwaka 1946 na 1947 nchi za Ulaya zilichukua mikopo na misaada kutoka kwenye mashirika haya. Nchi kama Ufaransa, Denmark, Netherlands na Luxembourg waliweza kufanikisha kuunda upya nchi zao na kufuta uharibifu wote uliosababishwa na vita, pamoja na kujenga uchumi wao. Kwa kiasi kikubwa taasisi hizi za Kimataifa zilimudu kudhibiti na kuchochea Uchumi wa Dunia.
Sasa ni nini kilizikuta nchi za Afrika ikiwemo Tanzania ambapo nchi hizi zinaonekana kuwa na ugonjwa sugu wa Umaskini usiosikia dawa licha ya kupewa mikopo na misaada ya matrilioni ya Fedha? Tutaona Part (ii)
View attachment 1929403
Hiyo corona imekuja mwaka Jana tu, Lakini mikopo tumekuwa tukikopa tangu Uhuru upatikane mwaka 1961, je mikopo yote tuliyokopeshwa kama nchi tulipangiwa cha kufanya ?Misaada haisaidii
Imagine unapewa msaada then unapangiwa ukanunue chanjo ya corona
Vietnam iko Afrika?Mfano halisi wa Tanzania aside na akili ni were, Africa ndio pekee iliyotawaliwa? Nchi za Korea, Vietnam, Singapore,India n.k hazikutawaliwa na kupewa misaada baadae na wakoloni?
Watu wenye akili watakubali vipi na teknolojia Yao ipigwe marufuku?
Kwenye global trade Sub Sahara Africa hai account hata 0.5% ya manunuzi ya bidhaa, sasa nani awategemee kwa soko masikini wakubwa kama hawa?
Soma kwanza historia ya Dunia, na uchumi wa Dunia sio kuamini propaganda za akina Polepole
Uko sahihi hakuna mzungu anayezuia teknolojia kugunduliwa Africa kuna mzungu mmoja alisema nasikia mna teknolojia ya kuruka na ungo Kama usafiri wa anga akasema si mfungue Viwanda vya nyungo muuze na muanze safari za kusafirisha abiria kwa njia ya anga mshindane kibiashara na ndege za Wazungu? Teknolojia hiyo Africa tunayo na hakuna mzungu kazuia Sasa mbona hatuitambui commercialize? Tuandike kama wao Fly KLM au fly Swiss air sisi zetu Tuandike fly Ungo the best and fastest flight in the world?Haya ni mawazo ya kikomunist asili yake ni miaka ya 70 toka chuo cha patrick lumumba Urusi yaliandaliwa na warusi enzi za vita baridi lengo ni kujenga chuki kwa kambi ya magharibi iliyokuwa upande wa wazungu,hizi ideology ziliingizwa mashuleni kuanzia miaka ya 70.
Kipi kilichogundulika Afrika kwa manufaa ya mwafrika Mzungu akakizuia.
Au kipi Mzungu kashindwa kukipata Afrika hadi ampige vita muafrika ndipo akipate hali wao ndo tunawategemea wanunue vitu vyetu.Tusipouza raslimali zetu kwao kwetu ni useless.
Nani anakula madini, dhahabu,nk.
Wewe ndo mwongo. Tunapewa mkopo ili tukanunue chanjo. Hakuna chanjo ya bure. Mlionjeshwa mkanunue hamu a dezo.Uongo utakuuwa dogo, chanjo tumepewa bure kama ambavyo tunapewa bure kondomu, vyandarua, kujengewe vyoo kwa msaada wa Marekani etc etc by the way unajua maana ya Aids, Grants & loans??
Umesema kweli tupu. Kuna watu wanjilinganisha na nchi za singapore na vietnamNi ngumu mno kuendelea kwa kutumia misaada yenye masharti uzitumiaje bila kusahau riba.
Wazungu wakiona kiongozi hataki misaada wanamtafutia zengwe mf. Gadafi,JPM nk.
Hata waswahili husema mtegemea Cha nduguye hufa maskini.
Mb9naMisaada haisaidii
Imagine unapewa msaada then unapangiwa ukanunue chanjo ya corona
Mkuu 'FM WOLLE', kukusaidia kupata jibu sahihi kwa swali lako, nami ningependa nikuulize wewe na wasomaji wako wengine swali, ambalo kama mnaweza kulijibu kwa usahihi, basi swali lako nalo litakuwa limepata jibu:
Kuna nchi ngapi duniani ambazo zilishapata maendeleo kutokana na misaada?
Usikimbilie kujibu hili swali bila ya tafakuri makini juu yake, kama kweli nia yako ya kutaka jibu ya swali lako ni halali.
Ni bora serikali hii ya awamu ya 6 ipo wazi.mwendazake alituambia nchi tajiri tena bila aibu tumeingia uchumi wa kati.nchi zilizomo katika uchumiwa kati mwananchi wa kawaida anapata kima cha chini US dollars 3500.sawa na mamilioni xeti.Niliuliza hili swali kupata maoni, sio hapa tu ni kwenye majukwaa mbalimbali, Asante kwa wote waliotoa maoni yao.
Lakini kwa ufupi misaada na Mikopo kihistoria vilianza miaka ya 1945 na ilikuwa baada ya vita kuu ya pili ya dunia kwa malengo mawili;
i) Kujenga miundombinu iliyoharibiwa wakati wa vita na jukumu hili ilipewa Benki ya Dunia.
(ii) Na lengo la pili lilikuwa ni kuharakisha maendeleo ikiwemo biashara na kudhibiti masuala yote yahusuyo Fedha Duniani, jukumu hili likawa ni la Shirika la Fedha Duniani (IMF) na Shirika la Biashara Duniani.
Lakini kwa pamoja mashirika haya waliyaweka pia kwaajili ya kudhibiti ama kuzuia kutokea tena kwa mdororo wa uchumi (Great Economic Depression) uliowahi kutokea miaka ya 1930's (Hawa watu wana akili [emoji4], kumbuka Kati ya wadau 700 waliokuwa wanajadili haya, hakuna mdau hata mmoja aliyetoka Afrika kwa ujumla).
Mwaka 1946 na 1947 nchi za Ulaya zilichukua mikopo na misaada kutoka kwenye mashirika haya. Nchi kama Ufaransa, Denmark, Netherlands na Luxembourg waliweza kufanikisha kuunda upya nchi zao na kufuta uharibifu wote uliosababishwa na vita, pamoja na kujenga uchumi wao. Kwa kiasi kikubwa taasisi hizi za Kimataifa zilimudu kudhibiti na kuchochea Uchumi wa Dunia.
Sasa ni nini kilizikuta nchi za Afrika ikiwemo Tanzania ambapo nchi hizi zinaonekana kuwa na ugonjwa sugu wa Umaskini usiosikia dawa licha ya kupewa mikopo na misaada ya matrilioni ya Fedha? Tutaona Part (ii)
View attachment 1929403
Swali lake linaashiria bado ni mgeni sana kwenye chemistry ya uchumi na siasa. Hata kumjibu mtu unaona uvivuMisaada haisaidii
Imagine unapewa msaada then unapangiwa ukanunue chanjo ya corona
Hii nchi haiwezi kuendelea chini ya ccm hata wakipewa miaka 1000. Hilo sahau.
Je chama kipi kitaleta maendeleo?Hii nchi haiwezi kuendelea chini ya ccm hata wakipewa miaka 1000. Hilo sahau.