kwanini nchi zenye ukaribu na US/wazungu zinafanikiwa kiuchumi kuliko zile neutral au zenye ukaribu na Russia/China au Warabu

Mnapenda kitonga! Gharama yake uachie mlango wa uani wazi!

Bora kula ugali nikiwa huru kuliko pilau ya masharti utumwani!
Tulipokuwa shuleni wazazi walikuwa wanatuambia tutafute urafiki na wenye akili tutakuwa na akili.
Hili nilifanya shule ya msingi nikajikuta mtihani wa hesabu wa shule wa mwisho napata 97, wakati nilikuwa mjinga.

Naamini tukichagua watu walioendelea kwa umakini tunaweza kupiga hatua kubwa (quantum leap)
 
Sababu wazungu ndio watu wenye capital na wanamiliki njia kuu zote za kiuchumi kwa hyo wakikupa tobo lazima utoboe
 
Ongezea falme za kiarabu japan nk
 
Hata mtaani mtu mwenye ukaribu na wazungu anaoonekana anaweza kutoboa kimaisha kuliko mwenye ukaribu na wahindi, wazungu wa mashariki na urusi, wachina au warabu.
 
Sababu wazungu ndio watu wenye capital na wanamiliki njia kuu zote za kiuchumi kwa hyo wakikupa tobo lazima utoboe
Mkuu asante kwa kuwa mkweli.
Popote penye mzungu aliye sirias panamaendeleo.
 
Mkuu asante kwa kuwa mkweli.
Popote penye mzungu aliye sirias panamaendeleo.
Kuanzia world bank, imf, swift na upuuzi wote mwingine vyote vinamilikiwa na wazungu na wana mtaji mkubwa waliopata kimafia kwa kudhulum, kuua na kuwageuza babu zetu watumwa .

Leo hii vikianzishwa viwanda vya bidhaa mbalimbali hapa Tanzania na soko letu kuu likawa ulaya na marekani itachukua miaka 20 tu kwa nchi yetu kuwa tajiiri.
 
Nakupata vizuri sana mkuu
 
Russia na china sio wajinga..

Yaani wewe uko bize kuteka wananchi wako,kuiba kura, Rushwa na matumizi mabaya ya Rasilimali zako harafu utegemee maendeleo kwa wanachi wake waliofunga mkanda?
 
Sasa hivi Kenya wamefungua Bank ya Amerika.......Wamefika mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…