matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #21
Tulipokuwa shuleni wazazi walikuwa wanatuambia tutafute urafiki na wenye akili tutakuwa na akili.Mnapenda kitonga! Gharama yake uachie mlango wa uani wazi!
Bora kula ugali nikiwa huru kuliko pilau ya masharti utumwani!
Hili nilifanya shule ya msingi nikajikuta mtihani wa hesabu wa shule wa mwisho napata 97, wakati nilikuwa mjinga.
Naamini tukichagua watu walioendelea kwa umakini tunaweza kupiga hatua kubwa (quantum leap)