Kwanini ndizi mshare hazipatikani Kanda ya Ziwa?

Kwanini ndizi mshare hazipatikani Kanda ya Ziwa?

Haya matoke mshare mnayependeaga nn madude magumu Kama nn.ndizi bukoba is the best hata kibogoyo anakula vzuri tu.kula ndizi Kama lunch au dinner ni dalili namba moja kuu ya umaskini.Over
Kula ndizi mshare, chakula ghali kuliko mchele ni umaskini? Labda kama unamaanisha kinyume chake!
 
Nimepakumbuka Rombo.... na Moshi yote kiujumlaa
 
Back
Top Bottom