Acha dharau weweee, Mkoa tajiri na watu matajiri, difinition ya utabiri wa mtanzania Ni siri yake mwenyewe kwa maana ya namna anavyopata utabiri wake. Maana sishangai huko unakotamba hakuna umasikini ndiko kulikuwa kunaongoza kwa kupakua bongo za watu kwa nondo, watu wanasaka utajiri. Lakini pia kumgeuza mwanzo awe ndondocha uwe tajiri Ni kitu cha kawaida. And by the way ili mtu utambuliwe kuwa tajiri unahitaji uwe na worth kiasi gani kwa Tshs? Maana mwingine akifuga nguruwe watano ni tajiri, akimiliki gari na nyumba tajiri, duka...........Utajiri mnaojinasibu nao na kuwaona wengine masikini mnaupima kwa viwango Vipi. Tuanzie hapo
Nasemaje bado hamjasema mpaka mseme yote ,Ila ukweli ndio huo Kagera niliyokua naisikia ya wasomi Haina uhalisia na maisha ya kipato Cha mtu mmoja mmoja.
Yaan Wilaya ya Ngara ,Misenyi ifanane Rungwe, Mbeya vijijini ,Kyela ,Mbalal!!
Shida unaruka ruka Sana kwenye hoja nimekwambia maisha ya watu wa huko asilimia kubwa ni duni Sana nimekaa huko Zaid ya miaka nane .
Kwenye Kaya Mia tajir mwenye nafuu ni mmoja ,kule mtu akiwa maskin ni maskin kweli kweli .
Kagalie Pato la taifa Mikoa Mitatu inayoongoza kuchangia kwa Wingi ,Ukiikosa Mbeya uje hapa uniambie ,Pia nenda kagalie top 5 ukiipata kagera njoo useme hapa.
Huu ndio uthibitisho kuwa kagera ni mkoa maskin Sana na huwez fananisha na Mbeya .
Mbeya familia nyingi ni za kipato Cha wastan familia nyingi zinaendana endana kwenye kipato ,kwanza wnnalima Sana kisasa tofaut na huko kwenu.
Kagera wanategemea Ndiz Kama zao la biashara alafu wanalima ki local wakat Mbeya wanalima Ndiz ,viaz vya Chips ,mpunga ,Mahindi ,maharage Tena kilimo Cha kisasa ,ukipita Wilaya za Mbeya kila mahali yamejaa maduka ya pembejeo ,hii ni ishara kuwa watu wa mkoa huo wameelimika na wanafanya mambo kisasa na ndio matokeo ya familia kuwa na kipato Cha wastan ,watu hao hawez kuwa maskin kamwe.
Nimekaa Ngara na Misenyi kule wanaishi maisha ambayo Mbeya tuliishi miaka ya 90 huko.
Kwanza Wilaya nzima unakuta duka la pembejeo lipo moja nalo halina bidhaa zote..
Definition ya umaskin imebebwa na idad kubwa ya Kaya maskin ambao kwa kawaida ni wavivu pia wabish huku wakiwa na uelewa mdogo Sana juu ya kwenda na wakat .
Watu wa huko ni wabish wajuaj waloz ,Wana chuki Sana .
Mfano Ngara Nimeishi Kabanga ,Kuna soko lipo pale wamejaa Wahangaza tu hawatak wagen ,ukifungua biashara ni either uchawi mwingi wakikushindwa watakuibia ,Sasa sehemu ambayo soko tu hakuna mchanganyiko na makabila mengine wanawezaje kuwa uelewa wa Mambo?
Nimezunguka vijiji vingi Sana vya huo mkoa ukwel maisha ya Kaya moja moja yanatia mashaka sana.
Ukikutana na mtu kijiwen anavyojitapa unaweza hisi wewe umekuja kusindikiza hapa dunian ,Ila nenda kwake ni vituko vya Karne .
Nyie Wahangaza ,washubi,Wanyambo,Wahaya siwajibu Tena endeleen kutoa povu hapa Ila ukweli ndio huo ,hutak Baki Ivo Ivo.
Over