Kwanini ndizi mshare hazipatikani Kanda ya Ziwa?

Kwanini ndizi mshare hazipatikani Kanda ya Ziwa?

Nachoona ni kawaida kila mmoja kuvutia kwake,
wala ndizi wa kagera wengi tunashangaa ndizi za k'njaro ngumu mbaya nyeusi, binafsi zilinishinda kabisa, mbeya ndizi zipo ila ni km hazina ladha, hizo mshale kwa bk zinaitwa nkonjwa zinapatikana sana kyaka ni ndizi adimu sana na hutumika kwa kukaanga au kuchoma sio kupika, kwa zilizobaki ndizi bukoba inatafutwa,
Kuna mishare aina mbili , moja ngumu na moja laini nyembamba na tamu kupitiliza ,huko moshi ina jina lake kulingana na lafudhi ya kichaga eneo husika.
 
Nachoona ni kawaida kila mmoja kuvutia kwake,
wala ndizi wa kagera wengi tunashangaa ndizi za k'njaro ngumu mbaya nyeusi, binafsi zilinishinda kabisa, mbeya ndizi zipo ila ni km hazina ladha, hizo mshale kwa bk zinaitwa nkonjwa zinapatikana sana kyaka ni ndizi adimu sana na hutumika kwa kukaanga au kuchoma sio kupika, kwa zilizobaki ndizi bukoba inatafutwa,
Kwakweli kuliko hizo ndizi bora ninywe mtori tu.
 
Hiyo inaweza ikawa ni fursa nyingine iliyojificha!

Miaka ya nyuma, hasa kwa Arusha na Kilimanjaro, ilikuwa ni nadra sana ndizi kutokujumuishwa kwenye MLO wa sherehe. Wazee wengi chakula chao pendwa ni ndizi nyama. Ukimpa pilau au wali mnaweza "kugombana!"
Huko songea unakuta mkungu wa mshare sijui mlali wanauza elf 2 mpk 3 tena wanakubembelezea. Hahaha
 
Rombo...kuna ndizi pia wanaita "manguve" sinahakika na spelling.
Kumbe!!! Zile ni tamu sana unaonaga mpka aibu kuzikata kwa kupikia home ni pesa tupu .
 
Kumbe!!! Zile ni tamu sana unaonaga mpka aibu kuzikata kwa kupikia home ni pesa tupu .
Ni kweli bei yake imesimama ila usione mbaya kuzipika nyumbani, mwili umefanya kazi upe % ufurahi.
 
Mwanza, Shinyanga, Kahama, Geita, Kagera, na Kigoma! Kote huko sijawahi kukutana na ndizi mshare. Ndizi zinazopikwa maeneo tajwa ni ndizi ambazo kwa Arusha na Kilimanjaro, ukikuta mtu kazipika, ujue ni amekosa kabisa cha kupika. Si matumizi yake.

Nilikula ndizi kwa mara ya kwanza jijini Mwanza mwaka 2010. Nilishangaa nilipokuta ni ndizi ambazo kwa Arusha na Kilimanjaro zinatumika kwa kupikia mtori au kuvundikwa kwa ajili ya kutengenezea pombe. Nilikula kwa kuwa sikuwa na namna, isitoshe, nilikuwa ugenini na ziliandaliwa kwa ajili yangu.

Tokea nikiwa mdogo, nilikuwa nikijua kuwa ndizi zinazotumika kupikia "ndizi" ni NDIZI MSHARE, KIMALINDI, n.k., lakini si ndizi ng'ombe.

Ni kwa nini hizo ndizi hazipatikani Kanda ya Ziwa?
Kwanza fahamu ndizi zinazopatikana Mwanza na maeneo mengi ya kanda ya ziwa au kigoma mara nyingi zinatoka "KAGERA"....

Alafu pia kila zao linaota kulingana na rutuba ya ardhi husika... Hizi ndizi za Kagera zinaota mpaka Uganda.

Ndizi mshale bakieni nazo huko
 
Nimeisha sana Kagera kiukwel nilipata shida kuzoea ndiz za kule.
Yaan wanakula mindiz fulan Mbeya tunaita eselya wao eti ndio ndiz yenye hadhi wakat Mbeya hayo mandiz tunawapikia Nguruwe.
Kuna Kambani za kuiva wao wanaita ndiz Sukari.
Kiukwel watu wa Kagera waje Mbeya kujifunza namna ndiz zilivyo .
Mindiz ya Kagera kwanza Haina Radha kabisa ila wao wanavyoyapenda sasa .
Wao ni ndiz maharage ,Au Magimbi mixer maharage.
Kiukwel watu wa mkoa ule hawajui vyakula vingi ,Hadi makande ya mahindi mabichi hawayajui kabisa.

Chakula kikuu Kagera ni Ndiz maharage ,Magimbi maharage ,mihogo maharage ,Wali maharage, tofaut na hapo hamna jipya.
Hata watumishi wa umma wakitoka ule mkoa wakaenda mikoa mingine hasa hii ya nyanda za juu kusin hawatak kabisa habar za kurudi kwao wanaona kama walikosa vitu vingi Sabab ya kuwa gizan .
Kuna Wilaya kama Misenyi ,Ngara ,Biharamulo ,ni Wilaya maskin sana Kwa ule mkoa na watu wa hizo Wilaya wanaish Maisha ya kizaman sana alaf wajuaj balaa wakat ukwel ni kwamba ni Washamba sana.
Uchafu sasa ndio usiseme hasa Wilaya ya Ngara wahangaza unakuta jitu linatema mate barabara Nzima .
Kamasi yanatolea mkono Tena mbele za watu.
Hovyo sana hao watu Sitaman hata kurud huo mkoa.
Punguza maneno kijana. Culture zinatofautiana katika masuala ya chakula.

Kuhusu ushamba na uchafu hivi ni vitu vina ukaribu sana na umasikini.

Hata Mbeya ina mambo yake, labda kwa wewe mkaa town.
Niliwahi kuwa nafanya kazi na kampuni ya utafiti,naenda maeneo ya rural zaidi. I know things kuhusu hayo mambo.
Haya tuje kwa wajanja wenu ambao hata wakizingua wanaonekana wajanja, ndizi gani inatumika zaidi Dar, yani ukitaka ndizi nyama hata kwa mama ntilie unakuta imepikwa hiyo? Je ni ndizi mshale/mshare?
 
Mi wakati nafika Dar nilishangaa kukuta ndizi flan kule kwetu Tunawapaga Ng'ombe ndio wanakula.
 
nilaini unaweza kula ikiwa hata Haina chumvi wala mafuta

kuipika kwake haihitaji majimengi coz inaiva chapá

uikipata naparachichi zalushoto zilivyo tam utataka iwe mlowako
Mleta mada umenichekesha Sana. Yaani unasahau kwamba kila kabila au Kanda inatofautiana na nyingine kutokana na aina ya nature of living ya watu wa sehemu hiyo. Ndiyo maana utaikuta mbege ndicho kinywaji traditionally kinapatikana sn Moshi na viunga vya ukanda huo lakini huwezi kuiona ikiwa popular Kagera ingawaje unatengenezwaji wake unatokana na mazao yanayopatikana mikoa yote miwili. Lakini sisi wahaya kinywaji chetu cha kienyeji ni Lubisi.

So mazingira ya wakazi wa eneo yanaathiriwa na utamaduni wa wao wenyewe, na ndiyo maana pia tunatofautiana katika aina ya vyakula na mapishi na mambo mengine mengi katika muktadha wa utaratibu wa kimaisha wa watu na tamaduni zao. Mfano Mimi I would prefer ndizi Bkb mchanganyiko na maharage pamoja na samaki au nyama to hizo mshare kwa kuwa ndiyo favorite kwangu kutokana na namna nilivyozoea.
 
Punguza maneno kijana. Culture zinatofautiana katika masuala ya chakula.

Kuhusu ushamba na uchafu hivi ni vitu vina ukaribu sana na umasikini.

Hata Mbeya ina mambo yake, labda kwa wewe mkaa town.
Niliwahi kuwa nafanya kazi na kampuni ya utafiti,naenda maeneo ya rural zaidi. I know things kuhusu hayo mambo.
Haya tuje kwa wajanja wenu ambao hata wakizingua wanaonekana wajanja, ndizi gani inatumika zaidi Dar, yani ukitaka ndizi nyama hata kwa mama ntilie unakuta imepikwa hiyo? Je ni ndizi mshale/mshare?
Punguza kelele Kagera ni mkoa Maskin sana hasa hizo Wilaya tatu nilizotaja .
Mimi Natokea Wilaya ya Rungwe na Sio Jiji .
Kama kweli umefanya kazi Mbeya huwez kulinganisha Wilaya za Mkoa wa Mbeya na Za huko kwenu Kagera.
Dar ipi unayoisema ?Maana ukienda Mabibo zimejaa mshare toka Mbeya ,ukienda Buguruni Mshare zimejaa ,alafu sio Mshare TU Mbeya Kuna Kila aina ya ndiz ambazo kwenu mnalima Mbeya zipo za kumwaga ndio hizo tunapikia Nguruwe .
Pia Kuna aina ya Ndiz zipo Mbeya ila Kagera hazipo.
Kabla sijafika Kagera nilijua ni mkoa wa maana sana kulingana na historia kua ni mkoa wa wasomi.
Ila kufika TU nilistaajabu sana Mkoa una Maskin wengi sana Tena wa kipato Cha chini sana tofaut na uhalisia wa mitandaoni
 
Punguza kelele Kagera ni mkoa Maskin sana hasa hizo Wilaya tatu nilizotaja .
Mimi Natokea Wilaya ya Rungwe na Sio Jiji .
Kama kweli umefanya kazi Mbeya huwez kulinganisha Wilaya za Mkoa wa Mbeya na Za huko kwenu Kagera.
Dar ipi unayoisema ?Maana ukienda Mabibo zimejaa mshare toka Mbeya ,ukienda Buguruni Mshare zimejaa ,alafu sio Mshare TU Mbeya Kuna Kila aina ya ndiz ambazo kwenu mnalima Mbeya zipo za kumwaga ndio hizo tunapikia Nguruwe .
Pia Kuna aina ya Ndiz zipo Mbeya ila Kagera hazipo.
Kabla sijafika Kagera nilijua ni mkoa wa maana sana kulingana na historia kua ni mkoa wa wasomi.
Ila kufika TU nilistaajabu sana Mkoa una Maskin wengi sana Tena wa kipato Cha chini sana tofaut na uhalisia wa mitandaoni
Wee mnyakii tuliaa......... Unawaumiza wahaya wasomi, matajiriii, ukoo mzima upo yukeiii[emoji16][emoji16][emoji16]...... Kumbe wamejazana kaishozii na nyakato uko
 
Punguza kelele Kagera ni mkoa Maskin sana hasa hizo Wilaya tatu nilizotaja .
Mimi Natokea Wilaya ya Rungwe na Sio Jiji .
Kama kweli umefanya kazi Mbeya huwez kulinganisha Wilaya za Mkoa wa Mbeya na Za huko kwenu Kagera.
Dar ipi unayoisema ?Maana ukienda Mabibo zimejaa mshare toka Mbeya ,ukienda Buguruni Mshare zimejaa ,alafu sio Mshare TU Mbeya Kuna Kila aina ya ndiz ambazo kwenu mnalima Mbeya zipo za kumwaga ndio hizo tunapikia Nguruwe .
Pia Kuna aina ya Ndiz zipo Mbeya ila Kagera hazipo.
Kabla sijafika Kagera nilijua ni mkoa wa maana sana kulingana na historia kua ni mkoa wa wasomi.
Ila kufika TU nilistaajabu sana Mkoa una Maskin wengi sana Tena wa kipato Cha chini sana tofaut na uhalisia wa mitandaoni
Acha dharau weweee, Mkoa tajiri na watu matajiri, difinition ya utabiri wa mtanzania Ni siri yake mwenyewe kwa maana ya namna anavyopata utabiri wake. Maana sishangai huko unakotamba hakuna umasikini ndiko kulikuwa kunaongoza kwa kupakua bongo za watu kwa nondo, watu wanasaka utajiri. Lakini pia kumgeuza mwanzo awe ndondocha uwe tajiri Ni kitu cha kawaida. And by the way ili mtu utambuliwe kuwa tajiri unahitaji uwe na worth kiasi gani kwa Tshs? Maana mwingine akifuga nguruwe watano ni tajiri, akimiliki gari na nyumba tajiri, duka...........Utajiri mnaojinasibu nao na kuwaona wengine masikini mnaupima kwa viwango Vipi. Tuanzie hapo
 
Back
Top Bottom