Hahahahahah unajua mtiti wa kumuacha mtu ambaye ushafunga nae mkataba madhabauni au unachukulia simpleWana kuambia wanacheck mitambo wasiuziwe mbuzi kwenye gunia
Mimi nashangaa sasa kama mwanamke umemuoa hazai si unatafuta mwingine
Sasa bruh mwanamke hazai inakuaje tubaki tu tunaishi kisa ndoa πHahahahahah unajua mtiti wa kumuacha mtu ambaye ushafunga nae mkataba madhabauni au unachukulia simple
Sasa bruh mwanamke hazai inakuaje tubaki tu tunaishi kisa ndoa π
ukikosea uchaguzi ni mpaka miaka 10 ipite ukikosea kuoa unaweza kuoa mwingine - JPM ri
Wadada wengi mayai wamelia chips...mtu anameza P2 kma paracetamolNimejaribu kuwaza ndoa za enzi zetu
Hivi majuzi nilihudhuria ndoa 3
Kila ndoa mdada kabakisha kama mwezi kujifungua hii waliweka mpaka na ambulance na nurse ikitokea emergency
Mwingine jumamosi iliopita huyu afadhali kitambi kilikuwa si kikubwa sana
Mwingine huuu dah mpaka nilikuwa naogopa kumwangalia mwili mkubwa na mbele ana exp wiki kadhaa kjjifungua dah
Sijajua nini shida kwani kuolewa lazima mpeane maimba kwanza??
Unajua mtoto n wa Mungu..unaweza zini ukiona Mimbaa unaazimisha ndoa..baada ya ndoa akachukua chake
MUNGU Akusaidie ukaolewe ukiwa safi bila Mimba ukaheshimikee milleleee
Amen
Kwa style hiyo akubali tu kuletewa king'amuzi kingine full HD maana hakuna namnahahahahah hapo unatafta kulogwa useme wanawake wabaya. Hivi uoe mtoto wa mtu halafu umuache eti kisa king'amuzi hakikamati channel unadhani atakuachia kizembe
zamani nilikuwa naona ni vibaya kuzindua albamu kabla ya ndoa, ukiwa mvumilivu mpaka siku ya ndoa ndio uzindue, kuna wengine wanakula mchumba wako bila hofu. Ya nini kusubiri mpaka siku ya ndoa ndio ule asali? Uasherati umekuwa mwingi sana, wachumba wakikutana faraghani huzinduana na matokeo yake wanapeana mimba kabla ya ndoa na kuwahi kuifunga haraka kabla mimba haijawa kubwa ili kukwepa aibu na kutengwa kanisani kwa kufanya uasheratiNi mizagamuano kwa kwenda mbele