Kwanini ndoa za sasa nyingi zinafungwa na ujauzito, nini shida?

Hili ndio jibu.

.......
 
Kuna zile mimba za miezi saba mtoto ni hatari sana mwanaume unaweza kimbia nyumba kwa aibu.
 
Waolewaji wana wasiwasi sana na wanaume, wanaume wengi ni mashoga kwahiyo wanawake wanajaribisha kama wanaume zao wanawea tungisha mimba.

Wanaume wanywa pombe na wenye vitambi , wengi mnaona wanava pensi na flana huku kitambi kikininginia wengi wao uume unakuwa mfupi, mbegu hazina ubora na mostly wanatoa mapovu ambayo hayawezi rutubisha yai la mwanamke.
 
Ndgu hyo sababu unaiona Ni ndogo kuachwa ukiona amekuvumilia Ni huruma yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…