Kwanini ndoa za wanandoa walichaguliwa na wazazi zinadumu na zile za "nimempenda mimi" hazidumu kabisa?

Kwanini ndoa za wanandoa walichaguliwa na wazazi zinadumu na zile za "nimempenda mimi" hazidumu kabisa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nimegundua kuwa Wazee wa zamani (Wazazi) walikuwa na Akili Kubwa (japo hawakusoma) kuliko za Wazazi wa sasa (ambao Wamesoma) hadi Vyuo Vikuu.

Utafiti (Uchunguzi) wangu binafsi kama GENTAMYCINE nimegundua kuwa 98% ya Ndoa ambazo Wanandoa Walichaguliwa na Wazazi wao zimedumu na zinadumu.

Ila nimegundua pia kuwa 99.9% ya Ndoa ambazo Wanandoa Wamependana tu Wenyewe Vichochoroni (ziitwazo Nimempenda MImi) hazidumu na ndiyo zinaongoza kwa Migogoro na Mitafaruku 24/7.

Shikamooni sana Wazee wa Zamani.
 
Wengi wa hao "walioletewa" na Wazazi unakuta ni madomo zege.

Hivyo wengi wao hawana uwezo wa kutafuta tena na hulazimika kushikilia kile walichonacho...na ukizingatia Mwanaume ndio huwa na nafasi kubwa ya kuamua ndoa idumu au ipotee, sasa akishajiona ana uwezo wa kupata mwingine ndio tabu huanzia hapo.
 
Nyingi za kuchaguliwa zinalindwa na kitisho cha kuachiwa laana(na wazazi au ukoo) pindi wanandoa hao wakizinguana au mmoja kumchoka mwenzie. Hizo ndo ndoa zenye maana pana ya till death do us apart
 
Kwanza wazee wetu walikuwa na utii kwa wazazi wao,pili wengi walikutana wakiwa wanaanza mambo hayo.Sio siku hizi kabla ya kuingia kwenye ndoa, rungu limegonga K za aina mbali,limevuruga mashimo ya aina mbalimabalu,ukija K sasa ishapitisha marungu ya aina mbalimbali.

Wakikutana kwenye ndoa mgogoro kidogo mwanamke anaanza kuyakumbuka marungu yake,huku mwanaume akikumbuka mashimo yake,wanasahahu hata kutatua changamoto zao binafsi.
 
Ni ukweli kuwa vizazi vya viumbe wenye 'akili' vinaelekea kuwa historia, siku hizi tumebakia wachache sana….. wengi ukiondoa vyeti na yale ya 'kufundishwa' kichwa ni cheupe.
 
FB_IMG_16578097261952239.jpg
 
Kwanza wazee wetu walikuwa na utii kwa wazazi wao,pili wengi walikutana wakiwa wanaanza mambo hayo.Sio siku hizi kabla ya kuingia kwenye ndoa, rungu limegonga K za aina mbali,limevuruga mashimo ya aina mbalimabalu,ukija K sasa ishapitisha marungu ya aina mbalimbali.

Wakikutana kwenye ndoa mgogoro kidogo mwanamke anaanza kuyakumbuka marungu yake,huku mwanaume akikumbuka mashimo yake,wanasahahu hata kutatua changamoto zao binafsi.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom