MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
Kwa maoni yangu naona kama hamkuwatendea haki wakinamama na wadada wa Kenya, mimi nashauri muweke Picha ya Simba dume na jike ili kuweka usawa, lakini pia kusema kuwa alama ya mikiku miwili inaonyesha kabila la wamasai pia sio sawa kwa maoni yangu nashauri mgesema mikuki miwili ni kuwakilisha makabila yote ya Kenya, naomba tujadiliane kwa upendo na amani
Nembo ya Kenya - Wikipedia, kamusi elezo huru
Kwahiyo simba jike wana masharubu?Hii sasa ni kukosa hoja. Mikuki ilikuwa inatumiwa na jamii karibia zote Kenya. Hapo kwa kuwadhulumu wanawake malalamishi yako mpelekee mwenzako Zipporah Kitonyi, wa chama cha maendeleo ya akina mama. M#p*mb* ya hao simba wawili umeyaona wapi? [emoji38] Ulijuaje ni dume wawili? Kuna uwezekano kwamba wote ni wa kike.
Wapo wengi sana ambao wanayo. Now you know.Kwahiyo simba jike wana masharubu?
Kweli, ya Tz ni ya zamani sana, ilichorwa na Nuhu ndio maana lazima humo ndani angeeka dume na jike. [emoji38]Copycat of Tanzania the earliest issuer of independent coat of arms in Eastern, Central and Southern Africa
A lot of characters there have been shipped from Tanzanian coat of arms
Mkuu unatafuta maneno na wakina dada wa OtieniKwa maoni yangu naona kama hamkuwatendea haki wakinamama na wadada wa Kenya, mimi nashauri muweke Picha ya Simba dume na jike ili kuweka usawa, lakini pia kusema kuwa alama ya mikiku miwili inaonyesha kabila la wamasai pia sio sawa kwa maoni yangu nashauri mgesema mikuki miwili ni kuwakilisha makabila yote ya Kenya, naomba tujadiliane kwa upendo na amani
Nembo ya Kenya - Wikipedia, kamusi elezo huru
Nchi ya watu wa inferiority complex hadi mwanamke anavaa wig kwenye Coat of Arms?Copycat of Tanzania the earliest issuer of independent coat of arms in Eastern, Central and Southern Africa
A lot of characters there have been shipped from Tanzanian coat of arms
Nyie sio wasomi.Kwahiyo simba jike wana masharubu?
it's an exceptionality just like a woman with beards.
Happens more often than not. Those are just the reported cases. You should let us people who have actually killed lions for cultural purposes educate you on this matters.it's an exceptionality just like a woman with beards.
Copycat of Tanzania the earliest issuer of independent coat of arms in Eastern, Central and Southern Africa
A lot of characters there have been shipped from Tanzanian coat of arms
Wig ipi hiyo!Nchi ya watu wa inferiority complex hadi mwanamke anavaa wig kwenye Coat of Arms?
Ama Kenya ni gays pride nation?Happens more often than not. Those are just the reported cases. You should let us people who have actually killed lions for cultural purposes educate you on this matters.
Mk254 swali mubashara.
Nembo yetu inajieleza, lakini mpaka uwe mtanzania ndio utaielewa. Kwanza mke na mume, ndio kiilelezo halisi cha jamii ya watu wa nchi hii, sio misimba miwili midume huku mnasema hilo swala hakuna umuhimu kwetu. Duh ni unafiki wa kiwango cha lami.Hili swali halina mbele wala nyuma, kwanini nembo yenu ina pembe za ndovu halafu nchi yenu inaongoza kwenye uharamia wa hizo hizo pembe.
Halafu nembo mumeweka mashoka na mikuki, mwenge na mazagazaga mengi duh!!