Kwanini nembo ya kenya ina picha ya madume ya simba mawili tu

Hehehe hapo umewakamata freshi, mwanaume aliyevaa marinda kwenye nembo ya taifa ni aibu iliyojee. Kafumuliwa...
Sijasema mimi wewe ndio umesema. [emoji38] Man, I just threw you under the 'mbass'! 😀 Alafu mbona mwanamke mwenyewe hana wowowo? Sinaga hamu kabisa na maflat screen! 😀
 
Sijasema mimi wewe ndio umesema. [emoji38] Man, I just threw you under the 'mbass'! 😀 Alafu mbona mwanamke mwenyewe hana wowowo? Sinaga hamu kabisa na maflat screen! 😀
Unawaza uzinzi tu muda wote
 

Mbona hapa kuna kina mama wawili....aha ha
 
Maneno kuntu. wakenya wanabaki midomo wazi. Yaani nashingaa sana. Nchi ya kenya inawekewa nembo za wanyama!!
 
Maneno kuntu. wakenya wanabaki midomo wazi. Yaani nashingaa sana. Nchi ya kenya inawekewa nembo za wanyama!!
Mzungu akiangalia Afrika anaona wanyama tuu, na wenzetu wameona wanyama ndio kielelezo tosha cha kutafsiri nchi ya Kenya.
 
Mzungu akiangalia Afrika anaona wanyama tuu, na wenzetu wameona wanyama ndio kielelezo tosha cha kutafsiri nchi ya Kenya.
Yani wakenya huwa wananichekesha kabisa.
Sijua kati ya hii ya mashetani:-


Na hii hapa ya wanyama


Ipi nembo ya kenya?
 
Halafu mbendera zenye alama alama na michoro always ni kwa weak nation
Hii hapa ya kenya



Tanzania


France



Russia



UK


German


Very simple flag. Lakini Bendera ya wakenya very complicated na ni ya kishamba.
 


Nembo yenyewe ndio hii!
Yaani hamna mirangi rangi ya ajabu ajabu wala shoka mbili, sijui ya kukatia miti na ingine ya kutoa watu roho, mara sijui jike na dume. Cheki kucha za simba, yaani unaona kabisa ndio wametoka kuua na kula nyumbu wa kitanzania! [emoji38] Mungu ibariki nchi yangu tukufu ya Kenya!!!
 
Halafu mbendera zenye alama alama na michoro always ni kwa weak nation
Hii hapa ya kenya



Tanzania


France



Russia



UK


German


Very simple flag. Lakini Bendera ya wakenya very complicated na ni ya kishamba.
Bendera ya Kenya ipo kama ya mganga wa kienyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…