MKWEPA KODI
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 28,701
- 71,056
- Thread starter
-
- #21
Kwa hiyo nyie wanawake wenu wana ndevu, aisee
Hahaha hilo sio wigNchi ya watu wa inferiority complex hadi mwanamke anavaa wig kwenye Coat of Arms?
Sisi kwenye nembo yetu hamna mwanaume aliyevaa sketi. 😀Ama Kenya ni gays pride nation?
Sisi kwenye nembo yetu hamna mwanaume aliyevaa sketi. 😀
Sijasema mimi wewe ndio umesema. [emoji38] Man, I just threw you under the 'mbass'! 😀 Alafu mbona mwanamke mwenyewe hana wowowo? Sinaga hamu kabisa na maflat screen! 😀Hehehe hapo umewakamata freshi, mwanaume aliyevaa marinda kwenye nembo ya taifa ni aibu iliyojee. Kafumuliwa...
Unawaza uzinzi tu muda woteSijasema mimi wewe ndio umesema. [emoji38] Man, I just threw you under the 'mbass'! 😀 Alafu mbona mwanamke mwenyewe hana wowowo? Sinaga hamu kabisa na maflat screen! 😀
Cha kushangaza ni nini hapo? Hiyo ni kawaida sana kwenye mada za kizinzi! 😀Unawaza uzinzi tu muda wote
Kwa maoni yangu naona kama hamkuwatendea haki wakinamama na wadada wa Kenya, mimi nashauri muweke Picha ya Simba dume na jike ili kuweka usawa, lakini pia kusema kuwa alama ya mikiku miwili inaonyesha kabila la wamasai pia sio sawa kwa maoni yangu nashauri mgesema mikuki miwili ni kuwakilisha makabila yote ya Kenya, naomba tujadiliane kwa upendo na amani
Nembo ya Kenya - Wikipedia, kamusi elezo huru
Hahahahahaha
Mbona hapa kuna kina mama wawili....aha ha
Ndio vazi asili la mtanzania
Mbona hapa kuna kina mama wawili....aha ha
Maneno kuntu. wakenya wanabaki midomo wazi. Yaani nashingaa sana. Nchi ya kenya inawekewa nembo za wanyama!!Nembo yetu inajieleza, lakini mpaka uwe mtanzania ndio utaielewa. Kwanza mke na mume, ndio kiilelezo halisi cha jamii ya watu wa nchi hii, sio misimba miwili midume huku mnasema hilo swala hakuna umuhimu kwetu. Duh ni unafiki wa kiwango cha lami.
Pembe za ndovu au tembo ishara yanyama , shoka na nyundo pamoja na rangi nyekundu inawakilisha jeshi letu. Mazao ya biashara na chakula yako hapo chini. Mwenge ni kuangazia dunia uhuru wetu. Maneno chini, sisi ni huru na tuko pamoja.
Ndio vazi asili la mtanzania
Mzungu akiangalia Afrika anaona wanyama tuu, na wenzetu wameona wanyama ndio kielelezo tosha cha kutafsiri nchi ya Kenya.Maneno kuntu. wakenya wanabaki midomo wazi. Yaani nashingaa sana. Nchi ya kenya inawekewa nembo za wanyama!!
Yani wakenya huwa wananichekesha kabisa.Mzungu akiangalia Afrika anaona wanyama tuu, na wenzetu wameona wanyama ndio kielelezo tosha cha kutafsiri nchi ya Kenya.
Vipi kuhusu hii?
Kitu chenyewe ndio hiki!
Mungu ibariki nchi yangu tukufu ya Kenya!!!
Bendera ya Kenya ipo kama ya mganga wa kienyejiHalafu mbendera zenye alama alama na michoro always ni kwa weak nation
Hii hapa ya kenya
Tanzania
France
Russia
UK
German
Very simple flag. Lakini Bendera ya wakenya very complicated na ni ya kishamba.
Kwanza hiyo nembo ya katikati inaonekana kama papasi (Tick)Bendera ya Kenya ipo kama ya mganga wa kienyeji