Gaddaf i06
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 1,770
- 2,841
- Thread starter
- #21
tatizo linapoanzia ni pale unapotaka kuchangia kwenye kila uzi!Maswali ya kitoto yanahitaji majibu ya kitoto. Tukiendekeza watu kutoshirikisha akili zao vyema, matokeo yake tutakuwa na taifa la ajabu kabisa.
Ninapenda ifike wakati, JF pawe ni sehemu ya kuuliza maswali ambayo umeshindwa kuyapata sehemu yoyote ile. Umetafuta Google umekosa, umetafuta mtaani kwako umekosa, sasa ndipo unakuja kuuliza hapa.
Ndugu yangu ninaye kupenda sana Retired, nakuahidi, sitaacha kuwajibu watu wanaouliza maswali ya kijinga ipasavyo.
Naamini umenielewa. Asante.
ukiona mada iko nje na uelewa wako, nashauri kaa pembeni ujifunze kutoka kwa wengine..
ujinga sio upumbavu[emoji120]