wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Naombeni mwongozo: kwani ng'ombe anaficha maziwa?
ni ng'ombe mwenye maziwa mengi tu lakini ana tabia ya "kubana" ukiwa unakamua. Sijuwi ni kwanini?!
mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie jamani
Ni tabia ya mnyama anampenda mwanae.
Jitahidi ule muda wa kukamua weka na mwanae pale kwenye chuchu mama amwone nae alafu kamua utayapata yote