Naombeni mwongozo: kwani ng'ombe anaficha maziwa?
ni ng'ombe mwenye maziwa mengi tu lakini ana tabia ya "kubana" ukiwa unakamua. Sijuwi ni kwanini?!
mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie jamani
asante sanaWakati unamkamua ngombe ukishaanza hilo zoezi jihidi uende kwa kasi sio unakamua kisha unapumzika
Pili kuna ngombe wengine bila kumuona ndama wake hatoi maziwa kwa hiyo mfunge ndama mbele yake.
Tatu kuna ngombe wengine ndama wake lazima anyonye kwanza kidogo kisha unamtoa ndio uanze kumkamua
[emoji120]Subiri na mimi nitie neno hapa
Ng'ombe wengi huficha maziwa kutokana na mazoea ulowazoesha
#kma ulikua unampa pumba na virutubisho vyengine hlf ukaacha kumpa au ukapunguza na yy atayaficha tu
#kma ni kipindi cha masika na majani yapo ya kutosha na ww bdo unampa majani makavu ataficha tu maziwa
#kikawaida Ndama atangulie kunyonya kbla kuanza kukamua ukifanya kinyume lazima ataficha
#Mpe pumba kabla kumkamua kiasi cha dakika 5 ivi hlf utaona matokeo yke
#Sio kila mtu akamue ng'ombe tafuta mtu maalumu wa kukamua ng'ombe ili wanyama hao wamzoee
Chunguza vizuri katika dalili nilizozitaja hpo juu huenda jpo moja ulimfanyia uyo ng'ombe
nalo ni wazu zuri [emoji120]maziwa kwa asili ni kwa ajili ya ndama na si binadamu au matumizi mengine yoyote.
wanawake wanajua hilo inaitwa kufinya kwa ndani anabana zile glands kwa ajili ya matumizi ya mwanayeNaombeni mwongozo: kwani ng'ombe anaficha maziwa?
ni ng'ombe mwenye maziwa mengi tu lakini ana tabia ya "kubana" ukiwa unakamua. Sijuwi ni kwanini?!
mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie jamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ng'ombe anajua maziwa ni ya ndama, sasa anaapokuona baba mwenye mandevu yako komavu unajidai ndama, hapo ndipo anapo changanyikiwa
[emoji3][emoji1666]Unatakiwa kuyatomasa, hasa chuchu zake, pia ngo'mbe anatakiwa wakati unamkamua kuna yale mafuta flani siyakumbuki jina, unampatia Pumba zenye makapi ya molasses, ama lile jiwe la chumvi, hapo lazma arembue na akuachie ukamue mpaka kamasi. Lakini kabla ya yote unamwita ndama anayavuta kidogo kisha unakatimulia mbali..umenikumbusha mbali sana Mzee nilikuwa ng'ombe mmoja nilikuwa nikimwita kibaka enzi hizo
[emoji1666] asanteni kwa kujaWataalam wa SUA ngoja waje hapa
Hivi ikitumika mashine ya kukamulia bado ataweza kuyabana?Naombeni mwongozo: kwani ng'ombe anaficha maziwa?
ni ng'ombe mwenye maziwa mengi tu lakini ana tabia ya "kubana" ukiwa unakamua. Sijuwi ni kwanini?!
mwenye uelewa kuhusu hili anisaidie jamani
kwa hapo sijajuaHivi ikitumika mashine ya kukamulia bado ataweza kuyabana?
Usidhanie utani. Ngombe wanapenda miziki ya taratibu na huwafanya kurelax na kutoa maziwa mengi. Hii tafiti ilifanyika huko Europe niliona DW wanaonyesha.[emoji3] sawa mkuu
Uzoefu wa kukamuamaji vuguvugu natumia. Iko hivi: mwanzo maziwa yanatoka vizuri lakini baada ya dk 2 yanakata! akikamua dogo anaewalisha anapata mara tatu ya yale ninayokamua mimi[emoji848]