Kwanini ngumu kusikia Mauaji ya wanandoa Zanzibar kama Bara

Kwanini ngumu kusikia Mauaji ya wanandoa Zanzibar kama Bara

kila sehemu kuna mambo yake, zanziber nayo ni maarufu kwa matukio ya ulawiti na ubakaji kuliko bara.
 
Habari wadau,?

Binafsi nina swali najiuliza sana. Why sijawahi kusikia wanandoa wameuana zanzibar ama pemba?

Je huko hakuna usaliti ama ndoa zao zina miujiza ya ziada...

Bara kuna kesi nyingi hasa za mume kumuua mkewa ama kumjeruhi.. ila zanzibar why hapana?
Unamaanisha kule kwenye wanaoruhusiwa kuo zaidi ya mke mmoja?
 
Huko ni kuf*rana tu ndo kesi zao hao..


Kila sehemu na changamoto zake
 
Habari wadau,?

Binafsi nina swali najiuliza sana. Why sijawahi kusikia wanandoa wameuana zanzibar ama pemba?

Je huko hakuna usaliti ama ndoa zao zina miujiza ya ziada...

Bara kuna kesi nyingi hasa za mume kumuua mkewa ama kumjeruhi.. ila zanzibar why hapana?

Kwani ZZK au ACT wazalendo wanasema je?
 
Habari wadau,?

Binafsi nina swali najiuliza sana. Why sijawahi kusikia wanandoa wameuana zanzibar ama pemba?

Je huko hakuna usaliti ama ndoa zao zina miujiza ya ziada...

Bara kuna kesi nyingi hasa za mume kumuua mkewa ama kumjeruhi.. ila zanzibar why hapana?
Jibu langu siyo rasmi ila kukaa kwangu unguja kwa zaidi ya miaka 10++++ naweza kusema sababu kubwa ni kwamba huku hamna ndoa za kuvumiliana unaweza kuoa leo ukaacha kesho.
Ndoa zetu nyingi bara tuna kiapo cha mpaka kifo kitutenganishe na hapo ndo tatizo linapoanzia.
Mwanamke anaweza kuamua kukusumbua makusudi ili muachane mgawane mali. Mwanaume anaamua kuvumilia wakati huo huo mwanamke naye anazidisha vibweka.
Hasira inapanda mtu anaamua kufanya yake.
Unguja bana mwanamke akiachwa hadai chochote, sana sana atabeba kabati alilokuja nalo siku ya ndoa basi.
 
Jibu langu siyo rasmi ila kukaa kwangu unguja kwa zaidi ya miaka 10++++ naweza kusema sababu kubwa ni kwamba huku hamna ndoa za kuvumiliana unaweza kuoa leo ukaacha kesho.
Ndoa zetu nyingi bara tuna kiapo cha mpaka kifo kitutenganishe na hapo ndo tatizo linapoanzia.
Mwanamke anaweza kuamua kukusumbua makusudi ili muachane mgawane mali. Mwanaume anaamua kuvumilia wakati huo huo mwanamke naye anazidisha vibweka.
Hasira inapanda mtu anaamua kufanya yake.
Unguja bana mwanamke akiachwa hadai chochote, sana sana atabeba kabati alilokuja nalo siku ya ndoa basi.
Uislamu mwana mke mtalaka huolewa bila matatizo, wengi katika jami za pwani kuachika na kuolewa tena hata mara tatu, uku bara wengi wanawadharau huitwa singo maza, na kuna hulka haasi eti kuoa singo maza nisawasa na kununua kiwajanja chenye mgogoro.
 
Sababu kubwa kabisa ni "civilization". Kuna sababu nyingi tu za jamii fulani kuwa civilized kuliko nyingine. Ni bahati tu kuwa mfumo wa madrasa unaotumiwa na waislamu pia hufunza civilization lakini mfumo wa kikristo au wa kipagani haufundishi kabisa civilization. Unaweza kuuliza mbona nchi za kizungu zina ukristo mwingi lakini civilization ipo juu. Jawabu ni kama nilivyosema hapo juu. Kuna sababu nyingi za jamii fulani kuwa civilized, na kwa nchi za magharibi civilization yao haikusababishwa na Dini (ukristo); yumkini imesababishwa na kutembea kulikofanywa na wazungu wenyewe kwa karne hadi karne (na mpaka leo vizazi vinaendeleza mfumo wa kutembea), maendeleo ya sayansi na teknolojia, mfumo rasmi wa maisha pamoja na sheria kali zilizopo.

Mfumo wa elimu ya madrasa uliopokewa pwani umefanya jamii hizo kuwa "wajanja" siku nyingi. Lakini pia mfumo huo umesisitiza sana kwenye kuwaaminisha watu wake juu ya makatazo ya kiimani. Ofcourse, kuna exclusion kadhaa lakini relatively jamii iliyoenda madrasa na kwa mazingatio ni nadra sana kufanya matukio ya kuua kwa sababu ya mapenzi.
Lakini pia jamii hizi zimekuwa katika mifumo ya communal ukiongezwa chachu na mfumo wa vijiji vya ujamaa ambao uliathiri zaidi maeneo ya pwani (ambako waislamu wengi wapo).

Sababu nyingine ni mfumo wa kiutawala uliokuwepo kuanzia ngazi ya familia ambapo vikao vya kiukoo lilikuwa jambo la kawaida. Mfumo huu ulileta nafuu ya kujenga discipline kuwa kabla ya kuchukua maamuzi binafsi, kuna ngazi za sheria hupaswa kufuatwa kwa kumshtaki mkosa katika vikao vya kiukoo. (Rejea mfumo wa liwali, jumbe na akida katika tawala za kikoloni). Hali hii ilijenga mazoea hapo baadaye kufuata ngazi za sheria katika mfumo wa kiserikali pale mifumo ya kutoa haki ya kifamilia/ kiukoo ilipoyumba. Hali hii imekuwa tofauti kwa mikoa ya pembezoni (mbali na ngazi za kimaamuzi serikalini).

Ujirani wa jamii hizi na Jiji la Dar ulifanya jamii hizi kufika Dar es salam kirahisi na hivyo kupata "exposure" ya jamii fulani iliyostaarabika.

Ubinafsi. Hapa kuna mchango wa elimu ya madrasa kidogo. Hizi jamii hazina ubinafsi kabisaa. No wonder leo unaenda Rufiji au Tanga au Mafya, hutakuwa na mtu hata mmoja anayekujua lakini utakuwa treated kama ndugu yao. Utapewa support zote na taarifa zote muhimu ikiwa pamoja na mke/mume au uongozi. Ni nadra sana hali hiyo kuikuta kwenye jamii nyingine za Bara.

Ucheshi na utani. Jamii hizi zimekuwa na utani mwingi mnoo uliotokana na michezo ya tangu utotoni. Kiukweli, utani huongeza upendo baina ya watu. Sijajua exactly why jamii hizi zinapenda sana utani na michezo ya aina hiyo tofauti na jamii za Bara.

Jiografia...
 
Hiyo sio Zanzibar bali ni kwa waislam wengi maana wao mume anaweza kuoa hata wake wanne, Zanzibar shida yao kubwa tena ni janga la kitaifa ubaki na kulawiti.
 
Waislam Wana ustaarabu siyo hawa dada zetu wa ugalatiani hata wakikojoa hawajui kujisafisha
 
Back
Top Bottom