Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
😅😅😅😅🤣 umemaliza kila kituKwa zile kelele zake huko mnadani mtasikilizana kweli!
Kizuri Chajiuza kibaya chajitembezaJf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Kwahiyo shida inaweza kuwa kelele tu basi?Kwa zile kelele zake huko mnadani mtasikilizana kweli!
Sina hakika kama kelele pekee ndo inaweza kuwa chanzo Cha kutompeleka mnadani😅😅😅😅🤣 umemaliza kila kitu
Bado. Vipi huko wanamuuza mnadani?Umewahi kufika kwenye minada ya Makete huko ndani ndani?
HakikaKizuri Chajiuza kibaya chajitembeza
HahaaaMboga ya wakuu na wafalme
afu si wanakula watu ukikaa kizembeKwa zile kelele zake huko mnadani mtasikilizana kweli!
Hapa shirati Rorya wapo wanazurura mitaani tu kama huko dar mbozi wanavyokata mitaa.Jf saalam.
Wakuu tukitazama tu Kwa jicho la kawaida hata bila kuingiza dini/Imani zetu hapa napata ukakasi sana.
Ni kwanini Nguruwe pamoja na kupendwa sana na watu lakini sijawahi ona kwenye minada ya kawaida nguruwe nae anauzwa kama ilivyozoeleka kuona ng'ombe na punda wakiuzwa kwanini kwakwe ni tofauti?
Tangu nianze kutembelea minada mikubwa nakiri wazi sijawahi ona nguruwe minadani.
Ndio swali ninalo jiuliza ni kwamba hairuhusiwi nguruwe kuuzwa minadani?View attachment 3140160
Mkuu Mimi na zungumzia hpa kwetu wewe umenipaisha Hadi uchina. ambako hata ndoto za kufika huko Sina.Tembea uone,acha kujifungia hapo kimanzichana na kujipa majibu mwenyewe.
Kule wanafugwa kama kuku, wanafunguliwa asubuhi jioni wanarudi wenyewe zizini. Ukimpenda nguruwe wa mtu mnauziana popote paleBado. Vipi huko wanamuuza mnadani?
Mbona Punda anauzwa na Ana kelele🤣🤣Kwa zile kelele zake huko mnadani mtasikilizana kweli!