Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
- #41
Siyo Kwa woteNguruwe ni halamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo Kwa woteNguruwe ni halamu
Utapigwa sasa 😂😂😂🙌🙌Siyo Kwa wote
Randa pia naona wanazururaHapa shirati Rorya wapo wanazurura mitaani tu kama huko dar mbozi wanavyokata mitaa.
Wewe utakua unajibu lako unalolitafuta, unaelewa maana ya luxurious meat ? Mzee hata soko ni uhakika...nguruwe utamkuta saa ngapi anasubiri kununiliwa mnadani ? Lakini nature yake tu pia kuanzia kidini Ndugu zetu wanaweza wasinunue chochote kwenye huo mnada....Nakubali ni nyama pendwa sana hata kwangu pia naikubali sana.
Utofauti wake ni ni hasa asiuzwe mnadani ukisema ni Luxury meat ni hoja nyepesi sana hii
Wee jamaa motoniMwamba haitaji promo wala Kiki,,Anajinenepea tuu anajua ana mashabiki wengi ambao wanatosha kulipeleka Jina mjini Mwamba amejipata Kweri Kwerii
Hapa watuache tu uharamu sio Kwa wote wengine kwetu ni saafi kabisaUtapigwa sasa 😂😂😂🙌🙌
Weee Mzeee[emoji23]Kizuri Chajiuza kibaya chajitembeza
UnjuuuTumia kama fursa ...!!
Mzeee kavurugwa 😂Weee Mzeee[emoji23]
Mkuu hii ndo naweza kukubaliana nawewe.Ukisema Luxurious meat wengine watakuambia hata kuku kwao ni luxurious!!Wewe utakua unajibu lako unalolitafuta, unaelewa maana ya luxurious meat ? Mzee hata soko ni uhakika...nguruwe utamkuta saa ngapi anasubiri kununiliwa mnadani ? Lakini nature yake tu pia kuanzia kidini Ndugu zetu wanaweza wasinunue chochote kwenye huo mnada....
Alafuu yule si mnyama anaeswaga ukiwatoa kuwapeleka kwenye mnada unaweza usirudi nae hata mmoja...wanafujo na kimbia kimbia unaweza ukasema Yesu amerudi na tayari ashawarushia mapepo tena...
DaaahMwamba haitaji promo wala Kiki,,Anajinenepea tuu anajua ana mashabiki wengi ambao wanatosha kulipeleka Jina mjini Mwamba amejipata Kweri Kwerii
😂😂😂Kizuri Chajiuza kibaya chajitembeza
Mkuu huko unakoenda sio🐼Kwa watu wengine sio hivyo.mbona Bata Huwa anauzwa japo Kwa wasabato wao ni haramu vilevile?